- Thread starter
- #121
yaani huyo dogo amtupilie mbali unaweza kuta kabeba mimba ya mumewe au mwanaume mwingine, kama ameweza kulala nae akiwa kwenye ndoa kwanini asiweze lala na wanaume wengine?
aache kumpigia simu , afute namba yake, na amwambie hawezi kusumbua ndoa yake na mkewe.
wanawake wajanja jamani, wanaume tusijisahau.
amemtumia rafiki yako kutaka kumpachika, labda kwa mumewe mambo mabaya pesa haiji kama zamani
mwambie amsahau kabisa, evidence anayo. amwambie mkewe kuna mwanamke anamsumbua miaka mingi naameolewa at least awe na idea ya kuwa kuna mtu anasumbua mumewe hiyo yote itasaidiaa hata hapo baadae akija admit alilala nae na mipira
Huoni kama utakuwa ubabe zaidi kwa mwanaume na mwanamke ataumizwa au ni kwa sababu mwanaume hawezi kushika mimba wakati wamefanyana wote. Hii inadhihirisha jinc wanaume walivyo wababe na kama wangekuwa wanashika mimba wangekuwa nazo mpaka kwenye ndevu!