Acha kushika watu uchawi, mpeni mawazo afanyaje na siyo kwanini alifanya hivyo.......Bado sikuelewi,,,labda utakapojibu memo ya Preta,,,kwanini dogo aendelee kufatilia wakati alishaoa Derimto????halafu inaonekena ulikuwa mshenga,,haya hii mimba inakuwaje??mume halali atashikishwa?au mtaendeleza dhambi mkaitoe??mtihani huo
wanakudanganya akuna cha usahihi sio darasani
KUNA KONDOM ZA MWANZO ZILIKUWA ZINATOA MANANII MWANAUME AKIIMALIZA LAKINI ILIKUWA NGUMU KUYAONA NA KUPATA MIMBA AIITAJI ZOTE YAANO HATA TONE LIKIFIKA KUNAKO DIDY ANAZALIWA
MAMA YANGU MZAZI ALIZALIWA NA KONDOM NA AKIKUPA STORY ALIPOMALIZA MASOMO YAKE YA NURSE NDIO BABAKE AKAMUULIZA UNAJUA KWA NINI NAKUPENDA SANA MWANANGU..AKAMWAMBIA UNAJUA WAKATI ULIPOPATIKANA NILITUMIA KONDOM ILA NAZANI ILITOBOKA KWA MBELE..UKWELI HALISI NDIO HUO MAMA NGU AKAZALIWA NA LEO ANA WAJUKUU SO KONDOM ZIPO KAMA ZIPO ILA UKIZIDADIS SANA AZIZUII MIMBA WALA CHOCHOTE TENA ZIKITUMIKA VIZURI NA ILE MIKELELE YA MBA MBA MBA WEEEEEE LAZIMA TWINS WATOKE WALIKO
Acha kushika watu uchawi, mpeni mawazo afanyaje na siyo kwanini alifanya hivyo.......
Mimi naona mwanamke msanii anajua hatapata matumizi kutoka kwa bwana yake hivyo ana mganda jamaa ili aleemimba na baadae mtoto...hivi haiwezekani kupima DNA? au mpaka mtoto azaliwe, je yeye mwana mke anatakaje maana inaelekea kila kitu hataki yaani kutoa mimba hataki kupangishiwa nyumba hataki? kwa maelezo haya mwanamke ni msanii mwanamke anaogopa maana hakuondoka pale walipokuwa na ugomvi mkubwa leo huu wa kichinichini ukimwondoa anawaza wanafamilia yake hasa mama yake anaweza akachanganyikiwa na hata kuugua kulingana na imani yake....tuonane baadae kwenye kikao
Kumbe mume alishawahi kuzaa na housegirl????? Inaelekea hata sasa bado anachakachua nje ndiyo maana nyumbani hawezi tena. Lawama asitupiwe mama pekee, mume anahusika kwa kumnyima haki yake mkewe. Dogo akome kula vya wenyewe. Mama naye kama ndoa imemshinda ni bora akadai talaka akatafute mwenza mwingine wa halali.
mmekonkludi vip hii ishu?
mmmmm hii sasa kali dhu!! ila chonde chonde jamani msiue hicho kiumbe tafadhali hakina hatia.
huyo bidada anajua huyo mtoto ni wa nani kwani mama asingiziwi mtoto.
Mimi naona mwanamke anashambuliwa bure na kuitwa kicheche, the duo love each other and the unborn baby was made out of love, kwavile hawana na hawako in good terms with husband ( who had a baby with HG ) na kwakuwa huyo mama anafanya kazi na hapati support kubwa ya matunzo kwa mumewe..na kwakuwa huyo mwanaume hawezi kumwacha mke wake wa ndoa,na kwakuwa they can't have an abortion.... the woman should move out na apewe assistance zote from tht man and akijifungua tu wakapime DNA, staying in unhealthy relationship just bcoz una pete na unafeel utaleta aibu fulani isn't good especially if u r denying ur right to love and enjoy life to the fullest, may I remind members that we live only once ? Huyu mwanaume akiona bado anampenda mkewe despite that baby on the wrong side of blanket basi watarudiana , mke asivunje ndoa, bali atengane na mumewe, I would do the same if I were in her shoes..do I hear people say and shout MZINZI ? !! On this case, I say mama pls tii kiu yako!!
Huu ni ushauri mzuri kati ya wengi waliochangia nauthamini kulingana na mazingira yenyewe ila kikubwa nitawaona leo na kuwawekea mashauri ya sehemu mbili na kuwaambia faida na hasara zake then wao waamue kama last line maana ndio wahusika
mtu uwezi kutoka kwenye ndoa then upime dna ikiwa ni ya mume afanyaje akose kote??????????????????????Mimi naona mwanamke anashambuliwa bure na kuitwa kicheche, the duo love each other and the unborn baby was made out of love, kwavile hawana na hawako in good terms with husband ( who had a baby with HG ) na kwakuwa huyo mama anafanya kazi na hapati support kubwa ya matunzo kwa mumewe..na kwakuwa huyo mwanaume hawezi kumwacha mke wake wa ndoa,na kwakuwa they can't have an abortion.... the woman should move out na apewe assistance zote from tht man and akijifungua tu wakapime DNA, staying in unhealthy relationship just bcoz una pete na unafeel utaleta aibu fulani isn't good especially if u r denying ur right to love and enjoy life to the fullest, may I remind members that we live only once ? Huyu mwanaume akiona bado anampenda mkewe despite that baby on the wrong side of blanket basi watarudiana , mke asivunje ndoa, bali atengane na mumewe, I would do the same if I were in her shoes..do I hear people say and shout MZINZI ? !! On this case, I say mama pls tii kiu yako!!
Hahaha haya bana! Ili kuepuka hilo mwambie astay away from my WL!Asante M'baba kama jina lako lilivyo na lake lilivyo she desrv.this ila angalia maana ameshaonyesha nia ya kutaka kukuchomekea na wewe mtoto wa Kimey maana huyu naye haeleweki