- Thread starter
- #21
Ndo tatizo la mapenzi ya siku hizi baada ya kuangalia tatizo ni nini katika ndoa yako mlisuruhishe ,matokeo yake mnaona njia muhimu ya kutatua tatizo hilo ni kutafuta mwanamke au mwanaume mwingine nje baada ya kukaa na kujadili nini tatizo ili mlitatue.
Plz mlio na ndoa,wachumba sio lazima mpate msada toka kwa watu wa marekani ' vunja ukimya zungumza na mwezako'
Nimekusoma mtu wangu