Ana mimba, anasema natakiwa nifanye nae mapenzi kila siku

epicurus

JF-Expert Member
Dec 16, 2015
274
173
Jamani wanajamvi wenzangu, poleni kwa majukumu ya hapa na pale hasa ya kuelimishana humu jamvini.....

Sasa ni hivi shemeji yenu ambaye ni
mke wangu ana ujauzito wa miezi mitano......Ila shida iliyojitokeza, ana nyonga ndogo, kwa mujibu wa taarifa alizonipa ni kwamba madaktari wamemwambia anatakiwe agegedwe kila siku ili kumtanua nyonga.........

Pia kwa sasa mimi na yeye tunaishi mikoa tofauti kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wetu....

Je, kuna ukweli wowote katika hilo? Yaani kumgegeda mwanamke kunaweza mtanua nyonga? Kama kuna ukweli naomba kujuzwa njia mbadala tofauti na ugegedaji ili nyonga itanuke...

Nawasilisha
 
Ndio maana nikasema, tofauti na ugegedaji......... Ila akipatikana msaidizi poa tu maana hata yeye huku anasaidiwa.......Vilevile watalaamu wakisema kama kuna ukweli juu ya jambo, nitakuchagua ukanisaidie na wewe
Duh maneno haya yanatoka kwa mwanaume kweli au??
 
Ndio maana nikasema, tofauti na ugegedaji......... Ila akipatikana msaidizi poa tu maana hata yeye huku anasaidiwa.......Vilevile watalaamu wakisema kama kuna ukweli juu ya jambo, nitakuchagua ukanisaidie na wewe
Watu wanakupa tahadhari we unajibu shombo, una akili wewe?
 
  • Thanks
Reactions: THT
Mama mtarajiwa kugegedwa wakati mwingine hata masaa machache kabla ya kujifungua (kama inawezekana) hurahisisha kujifungua kwa njia ya kawaida na kwa urahisi na Madakatari katika eneo hili hupendekeza hivyo.
 
Mama mtarajiwa kugegedwa wakati mwingine hata masaa machache kabla ya kujifungua (kama inawezekana) hurahisisha kujifungua kwa njia ya kawaida na kwa urahisi na Madakatari katika eneo hili hupendekeza hivyo.

Je, ugegedaji unatanua nyonga?
 
Nimemjibu kwa kadri ya uhitaji wake, alianza na hoja shombo, akapata majibu shombo...Akuanzaye mmalizie, suala la akili waachie wataalamu.. Kwa kuwa hata nikikuuliza akili ni nini huwezi nipa jibu la moja kwa moja
pole shem naona mimba imekukimbilia, yaani umekua mpashaji khadija kopa anasubiri...
angalia usianze kula udongo na kudai maembe mabichi...
Hongera kwa kutovaa Condom na kuijaza dunia... kila la kheri.
 
Ndio maana nikasema, tofauti na ugegedaji......... Ila akipatikana msaidizi poa tu maana hata yeye huku anasaidiwa.......Vilevile watalaamu wakisema kama kuna ukweli juu ya jambo, nitakuchagua ukanisaidie na wewe
Sema hakya Mungu
 
Hakuna kitu kama hichi wala hakuba daktari anayeweza kukupa ushauri zero kama huu. Mgegedo wako hauwezi kufikia nyonga hata siku moja. Labda huyo ana hamu ya ngono tu wala si lingine. Mtafute daktari
 
Duuu nyonga na kugegedwa wapi na wapi? Huyo anapenda tu huo mchezo, ila imemjia vizuri wengine hiyo kitu hawatakagi hata kuisikia
 
Ni kweli,
Kuna shemeji yangu amejifungua kwa operation, sababu kubwa madaktari walimwambia hakuwa anafanya ile mambo mara kwa mara.
 
Ndio maana nikasema, tofauti na ugegedaji......... Ila akipatikana msaidizi poa tu maana hata yeye huku anasaidiwa.......Vilevile watalaamu wakisema kama kuna ukweli juu ya jambo, nitakuchagua ukanisaidie na wewe
Kama mkeo ni member humu ndani si unajitafutia ugomvi mkuu?? Kwamba unachepuka huko ulipo
 
Kugegedwa inahusika ili kumsaidia kutengeneza njia sema kisiwe kibamia, rudi home mzee ukampe dozi kila siku
 
Back
Top Bottom