Umewataja wanawake viongozi na madudu ya aibu waliyoyafanya katika nyadhifa zao lakini umemsahau kinara wao Gertrude Mongella , aliyekuwa mbunge wa Ukerewe na Rais wa bunge la Afrika na madudu aliyoyafanya yaliyoiaibisha nchi akiwa Rais wa bunge la continent!!