Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
Ni Bint wa wa 23 Years old,anatarajia kumaliza chuo (UDSM) July 2011.
Huyu mtoto mi mwenyewe ndo nimeonesha "DIRA",nimeanza nae tokea akiwa kidato cha sita, tumekubalia akimaliza tu Mwanaume navuta (Niko Siriaz katika hili,sina mpango wa kumchezea huyu bint), Tatizo kwao wana mtreat kama mtoto sanaaa yani kiasi kwamba hata yeye ana behaviour za kitoto,kwa kiasi fulani nim mtrain ku build confo baada ya kuwa nae na kuwa nampa Mikasi ya ki utu uzima, lakini akirudi kwao ndo vile yani, mtoto mtoto yani!!!
Juzi ka introduce issue yetu kwa Mamaake(Mama Kumbena flan hv), Mama ache aje juu yani,,,"Oooh sitaki kusikia hayo kwa kipindi hiki!!!"
Maskini Kimwana changu kimekosa Raha (Hata mie pia coz real nampenda), reaction ya Mamaake ilikuwa busted na the way alivyopresent issue yetu kwa Mamaake...
Jamani hebu nipeni Msasada wa Mawazo espe. Kina Michelle, nifanyeje,tumeplan amavae Tena Mamaake once again,nipeni ushauri ili niweze kumshauri namna ya Kumvaa Bi Mkubwa wake....
Andaeni Michango ya harusi
Huyu mtoto mi mwenyewe ndo nimeonesha "DIRA",nimeanza nae tokea akiwa kidato cha sita, tumekubalia akimaliza tu Mwanaume navuta (Niko Siriaz katika hili,sina mpango wa kumchezea huyu bint), Tatizo kwao wana mtreat kama mtoto sanaaa yani kiasi kwamba hata yeye ana behaviour za kitoto,kwa kiasi fulani nim mtrain ku build confo baada ya kuwa nae na kuwa nampa Mikasi ya ki utu uzima, lakini akirudi kwao ndo vile yani, mtoto mtoto yani!!!
Juzi ka introduce issue yetu kwa Mamaake(Mama Kumbena flan hv), Mama ache aje juu yani,,,"Oooh sitaki kusikia hayo kwa kipindi hiki!!!"
Maskini Kimwana changu kimekosa Raha (Hata mie pia coz real nampenda), reaction ya Mamaake ilikuwa busted na the way alivyopresent issue yetu kwa Mamaake...
Jamani hebu nipeni Msasada wa Mawazo espe. Kina Michelle, nifanyeje,tumeplan amavae Tena Mamaake once again,nipeni ushauri ili niweze kumshauri namna ya Kumvaa Bi Mkubwa wake....
Andaeni Michango ya harusi