yes!
good nimejibiwa na ANDREW
(SIJALI KAMA NI auto respond or not)
Bado nitatuma kwa email tofauti 13
Nimetuma na nimepata majibu HAYA kuwa IMEFIKA
Jamaa wanachotaka pesa irudishwe serikalini waichakachue tena kama kawaida yao. Huu ujinga umevuka mipaka. Kama walikuwa serious mbona hawakuidai hiyo pesa ? Mbaya zaidi, hata hao waliohusika kuiba wapo, wengine ni wabunge wa hoiyo hiyo CCM...hiyo pesa bora ikajenge shule na zahanati. Ikirudishwa serikalini, inachakachuliwa. Tuache siasa tuone mbele.Halafu hao hao tena kwa maringo walituambia serikali ina mkono mrefu, sasa sijui urefu huo ni selective???
BAE wenyewe ndio wezi wakubwa sasa nyie mnataka muwaandikie hao wezi kuwaomba wasiipe hela serikali? Mara kumi naiamini serikali yangu kuliko hao matapeli. Ungesema tuandike barua kwa Spika wa bunge la Uingereza ningekuelew kidogo.
Mwanakijiji, siyo kwamba hawajuai alipo Vithlani, ila wakimkamata itakuwa imekamatwa serikali yote! Sasa nani atakubali? Kumkamata Vithlani ni sawa na kumkamata Mwenye Kagoda.Jamani wahusika wote wa radda upande wa TAnzania hakuna hata mmoja aliyeshtakiwa kwa serious crimes; kama kweli serikali inaaamini iliingizwa mjini wameshindwa nini kumsaka kwa udi na uvumba Vithlani? Hivi kweli wanataka tuamini hawajui alipo?
Send to (any or all of them):
Vice Chair of the Advisory Board
Phillipa Foster Back OBE
info@ibe.org.uk
Member of the Advisory Board
lawrence.prior@baesystems.com
Secretary of State for International Development
Hon. Andrew Mitchel
andrew.mitchell.mp@parliament.uk
Hon. Norman Lamb
norman@normanlamb.org.uk
Hata serikali yetu ni kama NGO tu.Nyie mnataka waingize hizo pesa kwenye NGO zao ambazo unakuta Director analipwa Pauni 20,000 hahaha FUNNY!!!!
Kwa kule Uingereza pia kuna Channel 4, ambawo reputation yao ni kubwa sana katika unbiased reporting
Page yao ya kuwasiliana hii hapa: rated/slated - April - Channel 4 - 4viewers
Page ya maoni ya BBC hii hapa: NewsWatch | Contact us | BBC News general feedback
Asante sana.Pia hakikisha unatuma kwa huyu ambaye anahusika direct.
Leonie Foster, BAE Systems
Tel: +44 (0)1252 383777 Mob: +44 (0)7540 630168
Leonie.foster@baesystems.com
wewe unaona ni sawa nchi yetu kupangiwa matumizi ya hela na serikali ya nje?????
Huna habari kwamba NGO zimekuwa vichaka vya kuiba hela zinazotolewa na wafadhili?