Erick darling..
haya bwana safari njema katika maisha mapya KWA KWELI BISHANGA ANAHITAJI KUFANYIWA MAOMBEZI
Yes baby...!
Miss you!
Umeona promise yangu?
tena huyo mzee Bishanga tuje tuite kikao kabisa tumfunde yawezekana hakwenda jandoni ndo maana anasumbua.:sad:haiwezekani kila mgogoro unaotokea kwenye ndoa za members ye anakuwa mshitakiwa no.1 why.
Napita tu hapa, nahisi kizunguzungu kimenipata. Sina hamu kuonwa nina roho mbaya.
Acha fitna,tafuta wa kwako.
Meza piriton ulale!Amyner darling... achana na @Ericb52, hakufai kabisa hata kwa mchuzi.
kuna kaka'angu anakupenda na anajua kulea wala hana purukushani. ni mwanaume wa ukwee
akitoka nje atatoka kwa mmoja tu sio kama Eric anaetoka na sisi wengi. come this way Amy........
nna ham ya tendo la ndoa na wewe!
Yes baby...!
Miss you!
Umeona promise yangu?
nna ham ya tendo la ndoa na wewe!
I hope you keep your promise sweetheart..
lol.. Umeona eh.. But, Bishanga, nina maongez na wewe shemeji.. Kesho ntakutafuta!
vaa night dress ulale kabla sijakuchapa.
Kipenzi changu Amyner....!
Najua nilikukosea sana ila nashukuru things are now good,kweli u muelewa na mwenye mapenzi ya dhati kwangu,Nakuahidi kulinda penzi letu kwa nguvu zote!
Pia hii ishu imenisaidia kuwajua wabaya wangu, Bishanga BADILI TABIA Remmy Nicas Mtei BAGAH Erotica Baba V wote hawa sio rafiki wema...!
Nimewajua friends wa kweli, Kongosho thanks sn Smiling Saint The secretary Qt B YNNAH wote nasema asante sana kwa upendo wenu.
Mamndenyi thanks mumy
special thanks kwa Judgement na Mwanyasi !
Mwisho nawajulisha kuwa mi na Amyner Hakunaga zaidi yetu....
Amyner, I love you so much!
Signed
Erickb52
I hope you keep your promise sweetheart..