LD
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 3,014
- 574
dah! taratibu LD, usije ukavunja skrini kwa hasira.
Acha tu Klorokwini, mi habari za hivi zinanifanya niwachukie sana wanaume kwa kweli. Mi sijui bwana sio wote lakini daaaaa why men use their uanaume kutesa na kunyanyasa wanawake??? Why? Why?