Amvizia Binti Aliyekimbia Mabomu

dah! taratibu LD, usije ukavunja skrini kwa hasira.

Acha tu Klorokwini, mi habari za hivi zinanifanya niwachukie sana wanaume kwa kweli. Mi sijui bwana sio wote lakini daaaaa why men use their uanaume kutesa na kunyanyasa wanawake??? Why? Why?
 
Acha tu Klorokwini, mi habari za hivi zinanifanya niwachukie sana wanaume kwa kweli. Mi sijui bwana sio wote lakini daaaaa why men use their uanaume kutesa na kunyanyasa wanawake??? Why? Why?
kilio chako nimekiskia LD, acha niwasiliane na ustawi wa jamii nione ni namna gani tunaweza tukatatua hili tatizo. tunafrahi sana mkionesha hisia zenu, kwasababu mnatupa sababu ya kuwajibika. ubarikiwe sana
 
Ndugu zangu,

kwenye gazeti la Mwananchi la leo ukurasa wa tatu kuna habari yenye kichwa cha habari kama ilivyo hapo juu. Bahati mbaya hawajaipost lakini imeandikwa hivi;

Mwanaume ambaye hakufahamika jina lake katika hali isiyo ya kawaida, juzi usiku alitumia fursa ya milipuko ya mabomu kumshawishi msichana aliyekuwa akihaha kutafuta hifadhi akiwa na mdogo wake mgongoni, wafanye vitendo vya ngono......(inaendelea lakini habari kuu ndiyo hiyo)

CCM na wao si wanatumia njia hiyo hiyo kuwabaka wananchi, hii nchi ipo siku watu watajua kwamba haina amani.
 
kilio chako nimekiskia LD, acha niwasiliane na ustawi wa jamii nione ni namna gani tunaweza tukatatua hili tatizo. tunafrahi sana mkionesha hisia zenu, kwasababu mnatupa sababu ya kuwajibika. ubarikiwe sana

Ha ha ha, haya bwana Kloro, hebu ngoja nilale zangu, hivi na wewe ni usiku kwako, au ni jioni lol!!
 
Ha ha ha, haya bwana Kloro, hebu ngoja nilale zangu, hivi na wewe ni usiku kwako, au ni jioni lol!!
hapa ni usiku wa mapema sana. kwa kiingereza wanaita evening.
ok gud nite naomba uote unaniPM
 
Ndugu zangu,

kwenye gazeti la Mwananchi la leo ukurasa wa tatu kuna habari yenye kichwa cha habari kama ilivyo hapo juu. Bahati mbaya hawajaipost lakini imeandikwa hivi;

Mwanaume ambaye hakufahamika jina lake katika hali isiyo ya kawaida, juzi usiku alitumia fursa ya milipuko ya mabomu kumshawishi msichana aliyekuwa akihaha kutafuta hifadhi akiwa na mdogo wake mgongoni, wafanye vitendo vya ngono......(inaendelea lakini habari kuu ndiyo hiyo)

this people must be fuska, hapo dada kakimbia bomu kakutana na bomu, HATIMA ILIKUAJE? HILO BOMU LILIMPIGA?
 
It is said "ones funeral is someone fortune" naona hiyo rule ndo ilipotumika hapo
 
Acha tu Klorokwini, mi habari za hivi zinanifanya niwachukie sana wanaume kwa kweli. Mi sijui bwana sio wote lakini daaaaa why men use their uanaume kutesa na kunyanyasa wanawake??? Why? Why?

Ohh LD, niliisahau hii sredi kumbe ilikukasirisha hivi. Pole sana

Ukipata story zote za ubakaji LD unaweza kununua bunduki na kuua wanaume wote hata baba yako. Some of these events are very painful.

lakini take it easy mama, not even God is ripe enough
 
Back
Top Bottom