Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,583
Kwa hiyo mtoto nimbebe niende naye ofisini?
Mimi wa kwangu nampelekaga daycare.
Kwa hiyo mtoto nimbebe niende naye ofisini?
Am trying to thing loud now..
Umesema alikutongoza wewe ukamkataa....kisha akamtongoza hausi geli wako akamkubalia wakaanza kula tunda.
1- engineer wangu ina maana wewe na hausi geli wako mnafanana kwa viwango vya urembo na kumtamanisha mme wa
mtu?
2- you sounds too cheap mpaka jamaa kakuweka level moja na house geli wako... Haiwezekani wewe uwe demu mkali kisha house geli wako awe super substitute wako kwa mwanaume smart na aliyekutaman wewe.
Hata mie nikikosa bia nitakunywa konyagi kiroba sio fanta orange....sawa na wewe kakukosa wewe landcruiser v8 ndio akusubstute na bodaboda kweli?..au wewe ni bajaj kaamua kukaa karibu na usafiri wenye hadhi karibu na yako wa bodaboda?
3- au mwanaume mwenyewe naye chizi tuu..lakini pia wewe engineer inakuwaje hata machizi wanakutongoza??..huoni wala kuhisi kuna kitu hakiko sawa kwako??
anyway..ni maoni yangu na mtazamo chanya ila nje ya box la fikra za jumuiya.
alitumwa na mimi au nini
Mimi wa kwangu nampelekaga daycare.
Nyani Ngabu inafikia mahali unahitaji housegirl, na tena inakuwa ni lazima unless uwe na ndugu atakayekubali kukusaidia. lakini wakikutibua utajuta! hutawataka tena wallahi!Sioni sababu yoyote ile ya kuwa na housegirl iwe uko kwenye ndoa au la.
Nyani Ngabu inafikia mahali unahitaji housegirl, na tena inakuwa ni lazima unless uwe na ndugu atakayekubali kukusaidia. lakini wakikutibua utajuta! hutawataka tena wallahi!
Hapana. Mimi sijawahi kuhitaji hausigeli sitakuja kuhitaji.
wacha banaaaa......
Sioni sababu yoyote ile ya kuwa na housegirl iwe uko kwenye ndoa au la.
Sioni sababu yoyote ile ya kuwa na housegirl iwe uko kwenye ndoa au la.
asante ila malipo ni hapa hapa