wewe ni mwanamke hujaolewa unaishi na housegirl wako
unaishi nyumba moja na mtu na mkewe
huyo mwanamke ana madharau balaa ,anaringa kweli na kuolewa anarusha vijembe eti ringia bahati usiringie uzuri.mumewe hajatulia hata kidogo anakutongoza unamkataa.bahati nzuri au mbaya anahamia kwa housegerl wako anakubaliwa.unafanya juhudi mkewe ajue .anajua anakuomba umfukuze msichana wako utakubali?
unaishi nyumba moja na mtu na mkewe
huyo mwanamke ana madharau balaa ,anaringa kweli na kuolewa anarusha vijembe eti ringia bahati usiringie uzuri.mumewe hajatulia hata kidogo anakutongoza unamkataa.bahati nzuri au mbaya anahamia kwa housegerl wako anakubaliwa.unafanya juhudi mkewe ajue .anajua anakuomba umfukuze msichana wako utakubali?