amtia mimbamama yake mzazi

Huyo mama inabidi akapimwe akili. Lazima atakuwa na upungufu wa akili kichwani (UPAKI)

Haiwezekani leo mama kutamani kuingiliwa na dudu alilolizaa mwenyewe, kwa hiyo mama alikuwa anamtamani toka yupo mdogo huenda alikuwa anaichezeachezea, kila mara akimuogesha.

LAANA asILIMIA 100!!!!!!!



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
I remember reading a story about a mother who wanted to marry his son, so I assume this is the sequel.. such a shame though

Hii ni kweli na wote wiwili walikuwa vichwa ngumu kweli kweli. Waliambiwa kama wanang'ang'ania kuoana wahame wkakae mbali na kwao wakasema POA TU!!
 
Dunia si mbaya Binadamu ndio wabaya. Sasa hapo kuna tofauti gani na kuku ngombe mbuzi nk.Hii ni laana kubwa sana mama duuuh
 
kweli ni mesikiliza vizuri sana kwenye radio kwenye kipindi cha magazeti hivi kweli binadamu tuko kwenye sikiu za mwisho mbaya zaidi alikuwa muumini wa kanisa mzuri. na hii ni mimba ya pili ya mtoto wake ya kwanza ilitoka baada ya kupata mshituko pale baba yake (mme wake ) alipofariki. Swali langu nani alimuanza mwenzake? Naomaba sana Mungu atunusulu na hili wimbi la shetani natujiweke tayari maana yaliyotabiriwa ndio hayo yanaonekana.
 
Kwa hapa pIA WEYE UTAKUWA NA MATATIZO.lol!

Kaka watu wengi hawanielezi ndani ya JF. Tatizo ni kuwa wakati najibu hoja nakuwa na mtazamo mpana sana; sijiangalii mwenyewe tu bali jamii nzima na masaibu yake.

Kwenye hoja hii, nimechangia kwa kutazama mtanziko ulioko sasa hv sas katika jamii pana ya walimwengu. Tuna masuala ya ushoga/Usagaji, utoaji wa mimba nk. Haya yote hayavunji sheria yeyote ya nchi wala nini. Haya yanavunja haki ya kijamii (moral rights) ambayo dunia yetu haiyajali.

Ninatukanwa/Nitatukanwa sana ndani ya JF! Kwani mimi ni mchambuzi mwandamizi wa masuala mbalimbali na hali hiyo imeniathiri sana kwani huwa nafikiria nje ya boksi kwa upana wake.

Watakao nielewa wanielewe! Lakini ni haki yangu na kuuelimisha ulimwengu wa watu wanaojifikiria wenyewe bila kuwakumbuka waliofanya matendo hayo walikuwa wanafikiri kuwa na haki gani?


Bazazi ni Bazazi!
 
Kaka watu wengi hawanielezi ndani ya JF. Tatizo ni kuwa wakati najibu hoja nakuwa na mtazamo mpana sana; sijiangalii mwenyewe tu bali jamii nzima na masaibu yake.

Kwenye hoja hii, nimechangia kwa kutazama mtanziko ulioko sasa hv sas katika jamii pana ya walimwengu. Tuna masuala ya ushoga/Usagaji, utoaji wa mimba nk. Haya yote hayavunji sheria yeyote ya nchi wala nini. Haya yanavunja haki ya kijamii (moral rights) ambayo dunia yetu haiyajali.

Ninatukanwa/Nitatukanwa sana ndani ya JF! Kwani mimi ni mchambuzi mwandamizi wa masuala mbalimbali na hali hiyo imeniathiri sana kwani huwa nafikiria nje ya boksi kwa upana wake.

Watakao nielewa wanielewe! Lakini ni haki yangu na kuuelimisha ulimwengu wa watu wanaojifikiria wenyewe bila kuwakumbuka waliofanya matendo hayo walikuwa wanafikiri kuwa na haki gani?


Bazazi ni Bazazi!

Ni bazazi haswa!
 
Sijafanya utafiti wowote, lakini nabisha hii sikweli na sitaki mtu anihoji kwanini nabisha.

Mkuu 'mwananchi' liko online,tafuta hiyo page uisome.Bahati mbaya mimi sio nguli wa kompyuta vinginevyo ningebandika hapa huo ukurasa.
 
Kaka watu wengi hawanielezi ndani ya JF. Tatizo ni kuwa wakati najibu hoja nakuwa na mtazamo mpana sana; sijiangalii mwenyewe tu bali jamii nzima na masaibu yake.

Kwenye hoja hii, nimechangia kwa kutazama mtanziko ulioko sasa hv sas katika jamii pana ya walimwengu. Tuna masuala ya ushoga/Usagaji, utoaji wa mimba nk. Haya yote hayavunji sheria yeyote ya nchi wala nini. Haya yanavunja haki ya kijamii (moral rights) ambayo dunia yetu haiyajali.

Ninatukanwa/Nitatukanwa sana ndani ya JF! Kwani mimi ni mchambuzi mwandamizi wa masuala mbalimbali na hali hiyo imeniathiri sana kwani huwa nafikiria nje ya boksi kwa upana wake.

Watakao nielewa wanielewe! Lakini ni haki yangu na kuuelimisha ulimwengu wa watu wanaojifikiria wenyewe bila kuwakumbuka waliofanya matendo hayo walikuwa wanafikiri kuwa na haki gani?


Bazazi ni Bazazi!
Mwanawane,wakuachage mwayego!
 
Hao wameniboa,sawa inawezekana ila sisi ni binadamu tuna tofauti kubwa sana kifikra na wanyama na kama wamefikia kupendana mpaka wakaamua kubanjuana hawa basi hawana tofauti kifikra na wanyama na ndio maana jamii pia ina waona watu wa ajabu sana.:angry:
 
Na haya ni baadhi tu yanayoripotiwa na vyombo vya habari lakini nyuma ya pazia kuna makubwa zaidi ya haya
 
Jamani mbona mnalalama? Ni haki za Binadamu hizo! Kufanya chochote upendacho ili mradi hufunji sheria. Sasa niambieni Dogo kavunja sheria ipi ya Dunia?

Kuna upendo gani ulio mkuu kuliko kumuondoa mama yako nyege zake? Waachani wajilie matunda ya uhuru kwa raza zao.

Bazazi ni Bazazi!


Kweli bazazi ni bazazi wewe unaonyesha unaweza kumpanda mamako.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom