Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
Someni hii nimeinyaka toka gazeti la leo la 'mwananchi' uk wa 20:
Mtoto amtundika ujauzito mama mzazi:
Kijana mmoja huko zimbabwe ameripotiwa kuwa na mahusiano na mama yake mzazi na amemtia mimba.Mama huyo Ethel Vanghae pamoja na mtoto wake Simon Matsvara wanatoka kijiji cha Pote,chinamhora.Wawili hao hivi sasa wametoweka baada ya chifu wa kijiji hicho kuamuru wakamatwe.
Mtoto amtundika ujauzito mama mzazi:
Kijana mmoja huko zimbabwe ameripotiwa kuwa na mahusiano na mama yake mzazi na amemtia mimba.Mama huyo Ethel Vanghae pamoja na mtoto wake Simon Matsvara wanatoka kijiji cha Pote,chinamhora.Wawili hao hivi sasa wametoweka baada ya chifu wa kijiji hicho kuamuru wakamatwe.