Mbogela
JF-Expert Member
- Jan 28, 2008
- 1,384
- 257
No Research no right to speak.Hakuwepo hazina wakati wa EPA,alikuwa maliasili fedha alikuwa mramba, Blunder alofanya ni kuingizwa choo cha kiume na Balali ku sign asokijua wakati wa Auditing, baadae alipostukia aka withdraw the statement.
Mkuu nadhani utakumbuka kuwa yeye ndio alisaini barua inayowapa ruhusa kagoda kuchota yale mabilioni kwa sababu yalikuwa yanelenga kufanya kazi za usalama wa nchi. Kwa hiyo sio wakati wa mramba tu alihusika pia kutoa some mane.