FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 716
mkuu mara nyingi hizi Post za kuteuana haziangalii sana sifa za kielimu, Maslahi kwanza halafu elimu baadaye. Mtu anayeteua Anaangalia ni jinsi gani atakutumia na kufaidika na wewe, na unajua kuficha siri kiasi gani, Basi.
Nakubali ila angalia post yangu ya vyeo vya UTENDAJI versus SIASA. Ndo tunakosea Tanzania