babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,107
- 15,999
tukisema hawa jirani mafioso hatueleweki,kumbuka sasa wamerudisha uhusiano na france tu wameanza hii biashara.hii ripoti ni ya juzi hapa july 17.Inatatiza jinsi GDP ya nchi fulani jirani inavyonufaika na hii biashara haramu ya silaha...:sick: