Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
Wana JF;
Hii niliisikia mapema wiki hii kutoka Clouds FM katika kipindi cha Leo Tena.
Kuna dada moja huko Mburahati ambaye alikuwa anapenda sana wanaume na alikuwa hachagui. Kila mwanaume mgeni anayefika mtaani lazima yeye afanye kila analoliweza hadi amnase kwenye anga zake. Alifanya hivyo kwa maslahi ya kupata pesa.
Tabia yake hiyo haikuwapendeza wengi, kwani huwa anafuata mwanaume yeyote "Mpya" na kumwacha wazamani "solemba" ili mradi yeye apate na aridhike. Hii iliendelea muda mrefu.
Ikatokea kuna Bwana aliamia pale mtaani na kama kawaida yule dada akawa wa kwanza na jamaa akakubali. Kumbe jamaa ajira yake ni "Kijana wa kazi Za Usiku" na Jambazi. Jamaa akawa anampa pesa nyingi sana yule dada kila anapopata.
Ikatokea akaja tena Mwanaume mwingine Mtaani, kama kawaida yule dada akamwacha Kijana Wa Kazi na Kwenda kwa Bwana Mpya. Naam! Yule Kijana wa kazi akapata habari na kisha kuhakikisha kuwa anachanganywa na kufanyiwa mchezo mbaya katika mapenzi wakati yeye anampatia kila kitu.
Basi bila yule dada kujua, Kijana wa kazi alimfuata akamwomba watoke na yule dada akakubali kwani alijua ni mambo ya mapenzi. wakaingia katika gari wakaenda hadi sehemu isiyo na watu kichakani. Jamaa akamwambia yule dada avue nguo yake ya ndani na kuinama na yeye akakubali akijua ni adventure katika mapenzi. Naam, alipoinama tu, jamaa alichukua wembe na Kuanza kuchana chana ndani kabisa ya sehemu za siri kila mahali huku damu zikimtoka, baada ya hapo jamaa akamwacha na kuondoka huku akimwambia sasa akagawe vizuri na kumwonya kuwa mambo anayoyafanya si mazuri.
Yule dada alipiga sana kelele (Sijui kama ilikuwa ni mbali na anakoishi au aliwapigia simu) na rafiki zake wakaja kumwokoa na kumpeleka hospitali ambapo mpaka nasikiliza hicho kipindi alikuwa bado amelazwa hospitali akiuguza majeraha.
Nasikia yule Bwana baada ya tukio hilo aliondoka kuelekea kwa bondeni kwa Madiba (south Africa)
Wadau sijui hii imekaaje?
Hii niliisikia mapema wiki hii kutoka Clouds FM katika kipindi cha Leo Tena.
Kuna dada moja huko Mburahati ambaye alikuwa anapenda sana wanaume na alikuwa hachagui. Kila mwanaume mgeni anayefika mtaani lazima yeye afanye kila analoliweza hadi amnase kwenye anga zake. Alifanya hivyo kwa maslahi ya kupata pesa.
Tabia yake hiyo haikuwapendeza wengi, kwani huwa anafuata mwanaume yeyote "Mpya" na kumwacha wazamani "solemba" ili mradi yeye apate na aridhike. Hii iliendelea muda mrefu.
Ikatokea kuna Bwana aliamia pale mtaani na kama kawaida yule dada akawa wa kwanza na jamaa akakubali. Kumbe jamaa ajira yake ni "Kijana wa kazi Za Usiku" na Jambazi. Jamaa akawa anampa pesa nyingi sana yule dada kila anapopata.
Ikatokea akaja tena Mwanaume mwingine Mtaani, kama kawaida yule dada akamwacha Kijana Wa Kazi na Kwenda kwa Bwana Mpya. Naam! Yule Kijana wa kazi akapata habari na kisha kuhakikisha kuwa anachanganywa na kufanyiwa mchezo mbaya katika mapenzi wakati yeye anampatia kila kitu.
Basi bila yule dada kujua, Kijana wa kazi alimfuata akamwomba watoke na yule dada akakubali kwani alijua ni mambo ya mapenzi. wakaingia katika gari wakaenda hadi sehemu isiyo na watu kichakani. Jamaa akamwambia yule dada avue nguo yake ya ndani na kuinama na yeye akakubali akijua ni adventure katika mapenzi. Naam, alipoinama tu, jamaa alichukua wembe na Kuanza kuchana chana ndani kabisa ya sehemu za siri kila mahali huku damu zikimtoka, baada ya hapo jamaa akamwacha na kuondoka huku akimwambia sasa akagawe vizuri na kumwonya kuwa mambo anayoyafanya si mazuri.
Yule dada alipiga sana kelele (Sijui kama ilikuwa ni mbali na anakoishi au aliwapigia simu) na rafiki zake wakaja kumwokoa na kumpeleka hospitali ambapo mpaka nasikiliza hicho kipindi alikuwa bado amelazwa hospitali akiuguza majeraha.
Nasikia yule Bwana baada ya tukio hilo aliondoka kuelekea kwa bondeni kwa Madiba (south Africa)
Wadau sijui hii imekaaje?