Nyange
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 3,516
- 1,865
Jan, tar. 12 tulishuhudia askari wetu wakipita mbele ya mgeni rasmi Mh. Karume wakitoa heshima kwa mkuu. Lakini Mh. mwingine ambaye ni Rais wa jamhuri ya Muungano wa TZ alikuwepo.
Mpaka leo sipati jibu kuhusu amiri jeshi mkuu ninani? na kwanini Mh. wa Zanzibar ndiye alikuwa mkuu, wakati mkuu kabisa alikuwepo? au labda hivi vyeo ni vya kupokezana kwa muda? Wataalam wa protokali tueleweshe.
Mpaka leo sipati jibu kuhusu amiri jeshi mkuu ninani? na kwanini Mh. wa Zanzibar ndiye alikuwa mkuu, wakati mkuu kabisa alikuwepo? au labda hivi vyeo ni vya kupokezana kwa muda? Wataalam wa protokali tueleweshe.