Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,374
Watawachukua majambazi wanaowafahamu, watawatesa na kuwaambia wakubali kuwa ndio waliomteka daktari,watatangaza kwa mbwembwe na hata kuwafiksha kortini...lakini kama ilivyo hulka ya binadamu tutasahau taratiibu na wao watapata mwanya...baadae utaambiwa mtuhuiwa kafia mahabusu. Kumbe wamemwachia huko msumbiji na hata kumuua kabisa
Zombe alituonyesha pesa za uongo akidai zimeporwa Bidco,wenye pesa wakakanusha
hata Kombe walimuua na mpaka leo ni viinimacho
Morogoro wakakamata vibaka defender nzima eti ndio wataalamu wa kumalima....then after?ak47ipo wp?
Kama ni kweli tetesi zilizozagaa kuwa kuna mhusika mwenye cheo kikubwa amebainika jana basi ni KASHFA kubwa kwa TPF na wizara ya mambo ya ndani...kuanzia waziri,DCI,IGP kamanda wa kanda,kamanda wa mkoa,kamanda wa upelelezi wa kanda na wa mkoa wanatakiwa kujiuzulu mara moja.na huyu anaetajwa akashikiliwa pia
Zombe alituonyesha pesa za uongo akidai zimeporwa Bidco,wenye pesa wakakanusha
hata Kombe walimuua na mpaka leo ni viinimacho
Morogoro wakakamata vibaka defender nzima eti ndio wataalamu wa kumalima....then after?ak47ipo wp?
Kama ni kweli tetesi zilizozagaa kuwa kuna mhusika mwenye cheo kikubwa amebainika jana basi ni KASHFA kubwa kwa TPF na wizara ya mambo ya ndani...kuanzia waziri,DCI,IGP kamanda wa kanda,kamanda wa mkoa,kamanda wa upelelezi wa kanda na wa mkoa wanatakiwa kujiuzulu mara moja.na huyu anaetajwa akashikiliwa pia