Ah! Kwni lazama uone wewe!?Pole kwa kumkumbuka,japo mie sikuona chochote alichofanya kwenye siasa....Peleka kwenye celebrity forum mkuu.............
Kama aligawa penzi inahusu nini? mbona maraisi wetu tunawajadili na vimada wanao? swala ni mwanasiasa na atajadiliwa jukwaa la siasa chuki mpaka nukta unasema koma?MOD hamisha hii siyo mahala pake. Ukiacha swala kuwa alikuwa mke wa Mpakanjia vilevile alikuwa hana kumgawia penzi mtu yeyote
Mwandishi wa habariWauza unga..
Pole kwa kumkumbuka,japo mie sikuona chochote alichofanya kwenye siasa....Peleka kwenye celebrity forum mkuu.............
Kama hukuona wengine tuliona mkuu, hata marehemu unamtolea macho?
Maelezo ya thread yanatosha kukueleza moja kati ya mambo mema aliyoifanyia jamii ya kiTz.Ukweli huko wazi...hakuna alichofanya,kama unayo weka hapa kwenye forum.....usitake tukaongea maneno mengine mabaya kwa mtu aliye-marehemu..........
Kama hukuona wengine tuliona mkuu, hata marehemu unamtolea macho?
Sawa sawa kakaSubiri waje