Apta Kayla
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 324
- 71
Ni miaka minne sasa tangu kifo kilipotutenganisha nawe tarehe 26.6.2007, tunashukuru kwa mchango wako juu ya madawa ya kulevya ulioutoa kule mjengoni. Ulitutoka siku ya kupiga vita matumizi mabaya ya dawa za kulevya, tulikulilia sana tukiongozwa na aliyekuwa Speaker wa Bunge letu Mzee 6.
Wakuu wa usalama wakatuambia walibahatika kufanya mahojiano nawe mara baada ya mchango wako ulioutoa Bungeni, wakatuambia uliwapa ile orodha ya Majina ya waagizaji wa madawa ya kulevya, wakatuambia wanaifanyia kazi ila mpaka leo hatujapata matokeo.
Pumzika kwa Amani Mpendwa.
Wakuu wa usalama wakatuambia walibahatika kufanya mahojiano nawe mara baada ya mchango wako ulioutoa Bungeni, wakatuambia uliwapa ile orodha ya Majina ya waagizaji wa madawa ya kulevya, wakatuambia wanaifanyia kazi ila mpaka leo hatujapata matokeo.
Pumzika kwa Amani Mpendwa.