Mkuu BobMkuu Ritz, binafsi sijui kama aliuawa ama la, ila naelewa kuna maradhi ya 'kibinadamu' yanayosababishwa na binadamu kwa kusudi la kuua bila kuchochea udadisi.
Say Renal failure sababu ya sumu labda (kumbuka, inaweza kuwa na sababu zingine za kibinadamu) au hata wale wanaosema UKIMWI, coz basically ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini, ambapo kuna several causes to this as well za 'kibinadamu', lakini pia sumu inayoweza kuathiri sehemu seli za mwili zinapotengenezwa (bone marrow) ikiwa moja wapo. Hapa mtu hupata upungufu wa kinga na dalili zote ambazo zinahusika nao.
Kwa hiyo basi unaweza kuuwawa kitaalamu kwa kupewa kitu kinachoweza kusababisha maradhi ambayo bila uchunguzi wa kutosha, hasa katika mazingira kama yetu (yasiyo na vipimo mahsusi na yaliyojawa na magonjwa yanayodhaniwa kuwa ya 'kawaida kwa watu fulani') huonekana ni 'matatizo ya kibinadamu' na hivyo kufifisha udadisi zaidi.
Kwi kwi kwi.
Dokta, Lema na Mnyika mmesha wapima?
Alinyonyoka nywele na kubabuka ngozi wafukue mwili wapime mifupa nina mashaka...............................................
Hakuna dokta duniani anaetoa habari za mgonjwa wake akiwa na magonjwa ya aibu ila tu, hajambo, kafa, anaumwa sana.
Alinyonyoka nywele na kubabuka ngozi wafukue mwili wapime mifupa nina mashaka...............................................
Kama MWAKYEMBE?
mpakanjia nae kapewa sumu!
AiseeCCM siku zote ni wauaji, walimuua Chacha wangwe Kamanda mtiifu kwa wanatarime sasa wanataka kuuaminisha umma kwamba aliuwawa na CDM kitu ambacho hakiingii akilini. ripoti ya uchunguzi wa kifo chake haikuwekwa wazi. Muuaji ambaye alikuwa ni dereva wake alisha achiwa huru na kulipwa chake CCM. Baada ya kamanda wa wanatarime kufa sasa wafuasi wake(wanatarime kwa ujumla) sasa wamekua chakula cha mwekezaji Barrick kwa kushirikiana na Mabwepande(CCM).wanawaua kwa risasi kwa kadri wanavyojisikia. wito wangu ni kwamba wanatarime tuungane tumtoe mkoloni Barrick kwa mapanga yetu, rungu zetu, pinde zetu, mishale yetu, mikuki yetu na hata kwa kutumia watoto wa mungu(Mawe) lakini tuhakikishe anatuachia nchi yetu. Ekyaro nkerayi, tobhoke.