Mlongo ulioishaLazima tuige ujasiri wake kwa manufaa ya taifa mpende msipende, lazima aenziwe vema ni jasiri ambaye watu wamemsahau nikielelezo tosha kwa vijana wote wanaopenda mabadiliko.
Sio kuficha majina ya wauza unga.
umesema kweliLazima tuige ujasiri wake kwa manufaa ya taifa mpende msipende, lazima aenziwe vema ni jasiri ambaye watu wamemsahau nikielelezo tosha kwa vijana wote wanaopenda mabadiliko.<br />
<br />
Sio kuficha majina ya wauza unga.
<br />Hakuyataja pia!
<br />Mwenyezi mungu amuweke mahali apendapo
<br /><br /><br />
<br /><br />
KHAAAAAAA,SIJAELEWA HAPA!!!!
Sasa kama unatumia neno inawezekana bado unaamini vipi kuwa alitaja? All in all hakuthubutu kutaja mtu as far as the public is/was made aware of. kama wewe ni polisi na alitaja kwako mlipomhoji kwa muda mrefu, public haijui hivyo hata uthubutu wake to me is doubtful!<br />
<br />
INAWEZEKANA ALITAJA COZ ALITOA MAELEZO KWA MUDA MREFU POLISI KISHA BAADA YA HAPO AKAWA MGONJWA THEN NO MORE!HOW FAR ARE YOU SURE JESHI LA POLISI HALIJUI ?