AMIMI USIAMINI - Hii ndiyo fomu ya kuombea viza ya kuja Tanzania!

hivi, hiyo fomu imeanza kufanya kazi mwaka huu? Au mleta mada utuambie tusiyojua

Kwa haraka haraka tu, mfano nenda kwenye tovuti ya ubalozi wa Tanzania Uingereza halafu nenda section ya viza, click hapo kisha utapata sehemu ya ku-download hiyo fomu. Imekuwa hivyo ilivyo kwa miaka kadhaa sasa.
 
we ****, ingekuwa vema kama ungetuwekea na visa application za nchi nyingine angalau mbili ili tuone tofauti. kwa sisi ambao hatujawahi kuziona fomu za nchi nyingine tunaweza kudhani hii ya tanzania ndo the best form ever
 
Ipo shallow kupitiliza!! Kwa ulimwengu wa sasa ulivyochafuka ni hatari mno!
 
we ****, ingekuwa vema kama ungetuwekea na visa application za nchi nyingine angalau mbili ili tuone tofauti. kwa sisi ambao hatujawahi kuziona fomu za nchi nyingine tunaweza kudhani hii ya tanzania ndo the best form ever

Naamini great thinker yeyote anafahamu kuwa fomu za viza za nchi yoyote huwa zinapatikana kwenye tovuti ya ubalozi wa hiyo nchi, sijui wewe.
 
Mara nyingi huwa tunazungumzia namna ambavyo nchi ya Tanzania inaendeshwa katika utaratibu wenye kutia aibu na fedheha kwa taifa na wananchi wake na inastaajabisha pale unapotafiti aina ya watu wenye madaraka ukilinganisha na uwezo wao.

Atachment iliyopo kwenye mada hii ndiyo fomu raia wa kigeni anayojaza pale anapoomba viza ya kuja nchini kwetu. Ni ukurasa mmoja tu ambao sehemu anayojaza ni theluthi moja tu ya kurasa hiyo.

Kwa wale ambao mmewahi kuomba viza kwenda nchi zingine naamini mtaweza kulinganisha information unazotakiwa kutoa kuhusu wewe ni nani na unafanya nini, una mahusiano gani, viambatanisho muhimu, n.k.

Ukiangalia fomu hii unaweza sasa kuelewa ni kwa nini hapa nchini kuna raia wengi wa kigeni ambao hawakupaswa kuingia nchini, watu ambao wasingethubutu kuomba viza nchi zingine, lakini kwa vile serikali imeifanya nchi kuwa shamba la bibi kwa kupitia upumbavu wa namna hii, matokeo yake ni nchi kudharaulika.

Hii ndiyo fomu iliyobuniwa na wataalam wetu waliopo uhamiaji>
Jioneeni wenyewe!

Mkuu, hivi umeishawahi kuziona fomu za kuombea Viza za China au Korea?
 
Inasikitisha. Watanzania hatuna utaifa na hatupendani ndio maana tunajiona kama ni wakarimu sana kwa wageni. Wenzetu wanapendana na wana utaifa, ndio maana wanalinda sana mambo yao na hadhi ya watu wao. Nilitaka kulifanyia kazi suala hili, lakini nikagundua nchi yetu kila kona iko hovyohovyo; uhamiaji, tra, tbs, madini, bot, tanapa, bandari yaani kila sehemu ni hovyo. Mbaya zaidi hata TISS wanafanya siasa, na hawana uzalendo tena.
 
well done muchunguzi wetu kwani si rahisi kuditekti yote haya kama machache au la
infwact bwana you' re a great thinker!!
kiip it ap,...
 
Inasikitisha. Watanzania hatuna utaifa na hatupendani ndio maana tunajiona kama ni wakarimu sana kwa wageni. Wenzetu wanapendana na wana utaifa, ndio maana wanalinda sana mambo yao na hadhi ya watu wao. Nilitaka kulifanyia kazi suala hili, lakini nikagundua nchi yetu kila kona iko hovyohovyo; uhamiaji, tra, tbs, madini, bot, tanapa, bandari yaani kila sehemu ni hovyo. Mbaya zaidi hata TISS wanafanya siasa, na hawana uzalendo tena.[/QUOTE


Kuja Tanzania ni kama vile unampeleka mtoto kindergaten za kata akaanze kusoma maana wanajali mshiko tu ila kama ni chizi,taahira wao hilo hawajari
 
Inasikitisha. Watanzania hatuna utaifa na hatupendani ndio maana tunajiona kama ni wakarimu sana kwa wageni. Wenzetu wanapendana na wana utaifa, ndio maana wanalinda sana mambo yao na hadhi ya watu wao. Nilitaka kulifanyia kazi suala hili, lakini nikagundua nchi yetu kila kona iko hovyohovyo; uhamiaji, tra, tbs, madini, bot, tanapa, bandari yaani kila sehemu ni hovyo. Mbaya zaidi hata TISS wanafanya siasa, na hawana uzalendo tena.

Hata sifahamu kabisa kama hao viongozi nao wanajiita ni viongozi wth!? hili linchi limeoza!! flippin helll!!
 
Hiyo ni form ya visa tu, ni tofauti kabisa form ya kuomba residence permit. Mimi nilishaiona form ya kuomba permit ina maelezo mengi kuliko hayo. Hizo za visa hata Kenya, Uganda hata Burundi ni za kawaida sana, tena sehemu zingine unaja hata mpakani tu, ni kikadi kidogo zaidi ya hiyo form. Au unataka kuwe na form tofauti kwa ajili ya wachina tu?. Huo utakuwa ni ubaguzi kwa wachina
 
Hiyo ni form ya visa tu, ni tofauti kabisa form ya kuomba residence permit. Mimi nilishaiona form ya kuomba permit ina maelezo mengi kuliko hayo. Hizo za visa hata Kenya, Uganda hata Burundi ni za kawaida sana, tena sehemu zingine unaja hata mkakani tu, ni kikadi kidogo zaidi ya hiyo form. Au unataka kuwe na form tofauti kwa ajili ya wachina tu?. Huo utakuwa ni ubaguzi kwa wachina

Nina wasiwasi kama umeelewa kinachojadiliwa hapa; tunazungumzia "visa application form" na siyo "landing card". Hii ndiyo fomu anayojaza mtu akiwa nchini kwao kabla hajasafiri kuja Tanzania, ni sawa na unayoijaza mtandaoni unapotaka kwenda Marekani au kwingineko. Landing card huwa inajazwa muda mfupi kabla hujatua na ndege kwenye nchi unayokwenda.
 
Kuna tetesi kuwa form hii ya kuombea visa ilianza kutumika wakati baba riz 1 akiwa waziri wa mambo ya nje. Hivyo ilipata kibali cha kuanza kutumika kutoka kwake. Hawa watu wanakosa hata akili ya kuangalizia/ ku- copy na paste. Aibuuuuuu!!!!!!
 
Ihvi kweli ndo watanzania ukarimu wetu au ndo upumbavu wetu? Kweli hatuwezi kujifunza kutokakwa wenzetu? Kila kitu tz kinafanywa kisimplesiple tu.
 
Lazima tu tofautishe, hapa mambo . Viza ya Tanzania unaipata on spot kwenye any entrace kwa dola 50. Tanzania haitoi viza kwa vigezo vyovyote hilo lazima lifahamike.

Tanzania ina assume kila mtu anayetaka kuingia TZ ana fedha zake za kutosha na hato zamia, na kwayo uchumi ama fedha zinapatikana. Ikitokea akazamia itakuwa imekula kwake.

Nchi zingine wanatoa viza kwa vigezo vyao kwamba usije zamia na kuwa mzigo kwa serikali na waripa kodi wao. Ndiyo maana wanakuitaji uje na info ili wajiridhishe. Hiyo form kwa TZ ni more than enough.
 
Lazima tu tofautishe, hapa mambo . Viza ya Tanzania unaipata on spot kwenye any entrace kwa dola 50. Tanzania haitoi viza kwa vigezo vyovyote hilo lazima lifahamike..

Hii ni kwa baadhi ya nchi tu na hasa za ulaya. mtu wa Senegal au Ethiopia akija hadi Dar ndipo aombe visa inakula kwake
 
Back
Top Bottom