Amfumania mumewe akipopolewa na hausi boy

dah!!asee....ama kwelii,lakini wanaume waaina hiyo wapo wengi sanaa jamani,mijitu imoowa na inawatoto bado wanatumbuliwaaa ndo kitu kipate stataa,kunaa limojaa kitaani maselaa maskani wanasemaa,kunaa mtoto wakiuni usiku analishugulikia chooni then jamaa kitu kinaa simamaa then na yeye faster anaenda kumcharukiaa wife.huyo mwanamke amtafute mwanaume rijali amlete hapo ndani then abanjuliweee tuone kama jamaa atamaind.
 
mwagia petrol choma moto mtu zote mbili izo loh! hapo utakuta kila siku kazi kulalamika houseboy aongezewe mshahara kumbe ajua kazi anayompatia ni zaidi ya ile mlimuajiria loh! hahahhaaaaaaa
uwiiiiiiiiiiiii naozea jela mana nisingebakisha hata kidole gumba
 
na wewe kama ulijua huyo handsome wa shoga yako anageuzwa ulitakiwa kumpa tahadhari mapema ili awe anajua kuliko ulivyomficha,maana sasa hivi ukimwambia kuwa ulikuwa unajua kabla ujue urafiki wenu umeishia hapo.
 
Wadau, tunafanya kama mzaha lakini tukio hili linakereketa kupita maelezo.
Namshauri afanye maamuzi magumu, atimu mume na huyo house boy maana sidhani kama watu wanaofanya hako kamchezo huwa wanaacha, asije akaletewa na magonjwa ya ajabu ajabu.
Mi baba mingine jamani!
 
mwagia petrol choma moto mtu zote mbili izo loh! hapo utakuta kila siku kazi kulalamika houseboy aongezewe mshahara kumbe ajua kazi anayompatia ni zaidi ya ile mlimuajiria loh! hahahhaaaaaaa
uwiiiiiiiiiiiii naozea jela mana nisingebakisha hata kidole gumba
hasira hasara bi Aminata 9 ohh.Source Jagwa Muzik vol 2.Nalog off
 
Wadau, tunafanya kama mzaha lakini tukio hili linakereketa kupita maelezo.
Namshauri afanye maamuzi magumu, atimu mume na huyo house boy maana sidhani kama watu wanaofanya hako kamchezo huwa wanaacha, asije akaletewa na magonjwa ya ajabu ajabu.
Mi baba mingine jamani!
Huyu jamaa nafikiri atakuwa ndiye atakayeenda kuiombea msaada serikali ya Tanzania kwa yule jamaa wa Uingereza(Mr.gay cameron) inaonesha wana share vitu vinavyofanana.Nalog off
 
huyo kaolewa na mke mwenzake. inauma sana lakini ndo hivyo mumewe ai riziki its better ampige chini aendelee na maaisha yake maana haina maana tena.
 
dah!!asee....ama kwelii,lakini wanaume waaina hiyo wapo wengi sanaa jamani,mijitu imoowa na inawatoto bado wanatumbuliwaaa ndo kitu kipate stataa,kunaa limojaa kitaani maselaa maskani wanasemaa,kunaa mtoto wakiuni usiku analishugulikia chooni then jamaa kitu kinaa simamaa then na yeye faster anaenda kumcharukiaa wife.huyo mwanamke amtafute mwanaume rijali amlete hapo ndani then abanjuliweee tuone kama jamaa atamaind.

Jamani pepo Devid Cameroon anazidi kupanda chati kila siku
 
jaman, ata kama umeshibana na mtu kiasi gani! hawezi kukwambia haibu aliyofanyiwa mumewe, mi siamini.............!!!
 
Baba analyst! Hili halizungumziki!!! Nadhani tumezoea cheatings za mwanaume na mwanamke, ila za mwanaume na mwanaume? Kha! Tunahitaji miaka 100 kuzoea na kukubali!
Hivi nyie wanaume,ukimkuta mkeo anasagana na hgeli, unaweza kumsamehe? Na baada ya hapo mtaishi maisha gani? Utaweza kumuamini akiwa na wanawake wengine wowote? Ngumu kumesa! Tavaladoi!
Sitaki kuonekana namhukumu shoga (homosexual) aliyekubuhu lakini nahisi ni muhimu wanandoa hao wakae chini na kuelezana ukweli. Kama anampenda mkewe anaweza kupata msaada wa kisaikolojia kumfanya achukie kutafuta mimba za mgongoni na kuwa mume bora.

Ikishindikana poa tu mke atulize boli na Mwenyezi Mungu atamjalia mume wa maana. Tatizo la jamii zetu wakati mwingine tunawekeana masharti mengi na mwisho wake tunaishia kuumizana nafsi tu.

Mtu anapata mchumba safi kabisa na wa chaguo lake na wote wanapendana lakini mwisho wa siku anamwacha eti kisa dini tofauti. Wengine kabila lao linatokea Mkoa wenye mvua kidogo, wengine wanaume wa huko wanapiga sana wanawake, wengine kwao hakuna pesa.

Unajua matokeo ya kuwaacha watu hawa...? Unaibuka na mtu wa kabila lako halafu shoga. Mwingine wa dini yako lakini mnakosa connection nk.
 
Shalom wana jamvi.

Kuna rafiki yangu ameolewa na the most handsome boy, lakini huyu mwanamume tulipokuwa tunasoma chuo ilikuwa inasemekana anapigwa miti na prof. Baada ya miaka kadhaa tangu tumalize shule akamuoa rafiki yangu, lakini sikuwahi kumjulisha kuwa mumewe chips mayai (anageuzwa).

Juzi kilicho tokea ni kwamba amemfuma laivu mumewe akipigwa fimbo sita assemble (sebuleni) na hausi boy wake, na mke amekosa huduma kwa miezi minne sasa kwa kuwa roketi ya mumewe haipai.

Je kuna uhusiano gani kati ya kugeuzwa na upungufu wa nguvu za kiume?

Muulize David Cameron............. Au tembelea Ofisi za Balozi wa Uingereza nina hakika atakupa jibu linaloeleweka. Wataalamu hao..!!!:lol:
 
Back
Top Bottom