tena mpumbavu sana,
unaweza zaa mtoto mmoja na mwanamke wa mtu..
But sio watatu.....
Halafu wewe huoi na kuzaa wa kwako,
eti udai wa watu.very stupid.
afadhali kidogo umeonyesha mawazo pevu, si hao wasemao "stupid" hakuna kitu kinachoutwa "stupidy" kwa watu wazima wenye akili zao!
hilo nalo neno
hana chake hapo yeye alikuwa anapanda DECI
hee na kina mama mbona tuna hatari sana jamani ?
kama wewe FL1 ndio umeolewa hapo na mumeo jogoo halizalishi ungefanyaje? sio unasema tu mbona huyu mwanamke ana balaa
you are entitled to your own opinion lakini kamwe mtu huwezi kukubali kutumika kwa manufaa ya watu wengine bila morals and proper reasoning; kijana ni mpumbavu (stupid!) kwa sababu;
Hiyo azoospermic situation ya mwenye mke au oligospermia au hata impotence ya mme wa huyo mama haimpi kijana haki au excuse ya kutia mke wa mtu repeatedly hadi kuzaa watoto watatu, tusichanganye upuzi wa huyo kijana na matatizo ya mwenye mke
- Anatembea na mke wa mtu baada ya kushawishiwa na huyo mama, meaning yeye ni bendera fuata upepo
- anazaa na mke wa mtu, maana yake hatumii kinga hasa wakati huu wa ukimwi
- Amerudia kuzaa mara tatu ndio anafanya uchunguzi kwanini mwanamke amekubali hayo yatokee
- Anataka kufanya kosa jingine la kujitangaza kwamba ametembea na mke wa mtu na kuzaa mara tatu
- He is just being used and he knows, na ndio maana hata kuoa ameshindwa
umeainisha vizuri mkuu, hebu soma mchango wangu uliotangulia (page 2) nilikuwa namjibu kigogo baadhi ya mawazo yako yamejibiwa.
1. mtu akishawishiwa haina maana kawa mjinga. rejea ukweli kuwa hata unapotongoza, kuchumbia au unauza bidhaa fulani, ni kawaida kunatumia ushawishi na aliyeshawishiwa hawezi kuitwa mjinga kwa hilo pekee.
Hapo ndipo tunapotofautiana, ndoa si watoto, ndoa ni muunganiko wa watu wawili na si vinginevyo, wanasema huwezi kuboresha ndoa kwa external factors, cha maana wanandoa wapime, wakubali hali yao na waishi kwa maisha tuliyoelekezwa, sidhani kwamba kuna dini inayosema ukiwa huzai basi muache mkeo akachapwe huko nje alete watoto2. kabla hujamhukumu yoyote kuwa stupid au vinginevyo. jiuliza kwanza uko kwnye mtazamo(perspective) upi au unatazama toka upande gani!
ukifikiria kidogo utaona kuna mchanganyiko wa mitazamo (mixed perspectives) kwa pande zote tatu. kijana aweza kuwa mjinga kwa mtazamo wetu wachangiaji, lakini akawa mwema sana kwa ndoa ile kwa mtazamo wa wanandoa hasa kama wasiwasi wangu kwenye mchango niliomjibu kigogo utakuwa kweli
All in all Mgombea nimeheshimu sana tulivyojadili hoja bila matusi wa mvurugano, nakupa tano!!
[COLOR=darkgreen said:Huyo jamaa yatakayomkuta me sijui ila naamini lazima cha mtema kuni atakiona.
Malipo hapahapa duniani.
[/COLOR]
you are entitled to your own opinion lakini kamwe mtu huwezi kukubali kutumika kwa manufaa ya watu wengine bila morals and proper reasoning; kijana ni mpumbavu (stupid!) kwa sababu;
hiyo azoospermic situation ya mwenye mke au oligospermia au hata impotence ya mme wa huyo mama haimpi kijana haki au excuse ya kutia mke wa mtu repeatedly hadi kuzaa watoto watatu, tusichanganye upuzi wa huyo kijana na matatizo ya mwenye mke
- anatembea na mke wa mtu baada ya kushawishiwa na huyo mama, meaning yeye ni bendera fuata upepo
- anazaa na mke wa mtu, maana yake hatumii kinga hasa wakati huu wa ukimwi
- amerudia kuzaa mara tatu ndio anafanya uchunguzi kwanini mwanamke amekubali hayo yatokee
- anataka kufanya kosa jingine la kujitangaza kwamba ametembea na mke wa mtu na kuzaa mara tatu
- he is just being used and he knows, na ndio maana hata kuoa ameshindwa
halafu kuna la kuwaathiri watoto kisaikolojia
hilo hajafikiria..
Huwezi waambia watoto baba yao waliomzoea
sio baba yao,eti hapandi mtungi...
Ni mpumbavu sana huyo.
wana JF,
Ndipo huyu rafiki yangu aliamua kufuatilia kwakaribu ili ajue undani zaidi na ndipo alipogungua kwamba mwanamama huyo na mumewe walikuwa wamepanga mchezo wote kwani jogoo la mumewe 'haliwiki'
Sasa wana JF, huyu kijana hajaoa lakini anauhakika wa 100% kwamba watoto wale watatu ni wake...
Je, anayohaki ya kuwadai watoto hao kuwa ni wa kwake?
Je, afanyeje ili aweze kutendewa haki?
Sipendi sana kuamini unachokisema lakini inawezekena
ila huyo kijana ana roho ngumu kuliko muuza sumu hata huko kuhama ni uongo mtupu sijui hii inaonyesha jinsi alivyojua kosa lake? cha kushangaza amerudia mara nyingi! Nashindwa kuutambua uelewa wa mama huyu kama kweli tatizo ni hilo....! maana sidhan yapo atakayemtuma mkewe akamegwe hadi mimba wakati zipo njia nyingine za upandikizaji?? Najiuliza kijana huyu akimegewa mkewe sijui itakuwaje mhhhh atakua mkali huyoooooo! mwambie wale si watoto wake kwa sasa!
tena asiende kuthubutu kudai ye si kidume apandikize kwa mkewe!
nimeona mitazamo tofauti mingine mizuri, mingine 50/50 na mingine inasikitisha. Kuna ambao wamekasirishwa sana na kitendo cha huyu kijana kiasi cha kushindwa kufikiri logically! Kabla ya kumshushia kila aina ya maneno kijana huyu, je ni kweli nyie sio wazinzi? Je ni kweli kati yenu mliomporomeshea maneno makali hamjawahi kuwa na mahusiano na walio katika ndo? Labda sababu kuu ya wengi wenu kuandika mliyoandika ni kutokana na nyinyi wenyewe kuwa katika ndoa na mmejiweka katika nafasi ya nyinyi kuibiwa, sasa kutokana na kutawaliwa na wivu mmehisi kuguswa na kuumizwa! Ningependa kushauri, safari nyingine msichague upande na mjaribu kufikiri logically by looking at the sitution in 3d. Shukrani kwa wale ambao wamejaribu kuangalia pande zote.