Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
Leo darasa kali sana, nimefarijika kweli kweli..Asante kwa hizo alama nitajifunza na kuapply kwenye mipango yangu ya kumteka huyo kaka..
Nikuulize kitu? wewe binti akiwambia anakupenda live unachukuliaje? kuwa muwazi usijali hutanikwaza..nataka mtazamo tu kama Fidel na St. RR..ha ha
Very humbling experience ukizingatia jinsi nitavyotamkiwa.
Kutamkiwa 'Mbu nakupenda!' na kutamkiwa '' ♪ mbu, ...nakupenda!... ♪' ni vitu viwili tofauti.
Kawaida yangu (jinsi nilivyo,) it takes time to sink in...
Na kawaida ya ku digest haya mambo kidogo kidogo ('hoping!' not to be misintepreted labda sijali hisia 'zako')
Nisipofanikiwa nitaficha wapi sura yangu?
...Never ever take it personally, ni bora akwambiaye ukweli ukajua it's a rejection kuliko yule atayekukubalia kwa uwongo na akupe ridhisho la muda. Hapa inabidi uwe spiritual stable,
talking about---Your Destiny---!