The Obama administration could have taken this step to Tanzanian officials who are involved in stealing government money. But i hope may be second will be Tanzania.
Ab-Tichaz,Brutus,ByaseL,Recta,Fidel80,Bluray,Kituko....
..waliohusika na vurugu na mauaji yaliyotokea Kenya wanapaswa kupelekwa kwenye sheria. hilo nakubaliana nalo 100%
..kwa upande mwingine nashangaa sana kwamba liko "donda" kubwa kwa majirani zetu Wacongo na jumuiya ya kimataifa haitaki kulishughulikia.
..mamilioni ya Wacongo wameauawa na wahusika wakuu ni serikali na majeshi ya Rwanda, na vibaraka wao.
..majuzi nimesoma taarifa za Waziri Membe, ati anadai Jenerali Nkunda ameweka masharti kwamba akashtakiwe ktk nchi zisizo na hukumu ya kifo!!
..yaani tumefika mahali viongozi wa Afrika na jumuiya nzima ya kimataifa inawekewa masharti na mhuni na muuaji kama Laurent Nkunda??!!
The Obama administration could have taken this step to Tanzanian officials who are involved in stealing government money. But i hope may be second will be Tanzania.