uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 14,653
- 26,388
Sasa mdogo wangu, wote tunajua kupenda na tunajaua mambo yalivyo magumu and how you feel when you are rejected, but if she decided to handle her phone to a Man, what kind of message do you get? wewe ulipokuwa nae kuna siku alikupa simu yake ukakijibu hicho kidume?
Simply, she has nothing to do with you na anafikiri hakuhitaji, watu kama hawa huishiwa kukwamba hapo mbele wala sio mbali na kukutafuta mrudiane, MSHUKURU MUNGU SANA UMEGUNDUA, na mteme, it will take sometimes but believe me, YOU CAN FORGET A WOMAN FOREVER, kwani yeye ni NANI? HA! tena you will get great one that her.
Simply, she has nothing to do with you na anafikiri hakuhitaji, watu kama hawa huishiwa kukwamba hapo mbele wala sio mbali na kukutafuta mrudiane, MSHUKURU MUNGU SANA UMEGUNDUA, na mteme, it will take sometimes but believe me, YOU CAN FORGET A WOMAN FOREVER, kwani yeye ni NANI? HA! tena you will get great one that her.
Wana jf naombeni ushaur wenu nipo ktk kipnd kigumu sana,nina mpenz wangu wote tunapendana ila kati 2lisalitiana bt tukaahd kufungua ukurasa upya wote 2we wa kweli na 2kapenda kutokana na kutafuta maisha 2ko mbali kimkoa ila 2nawasiliana kila cku cha kushangaza na mpigia cmu jion hii anapokea mwanaume then anajitambulisha yy ni mpenz wake,naombeni ushaur wenu na wote 2najua kama mapenz yanatesa na kuumiza,its beter kutocoment kuliko kucoment ma2si au vbaya