Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,627
- 154,983
Wasalaam.
Ndugu yenu ni mzima wa afya njema.
Wiki mbili zilizopita niliamua kumuonyesha wife kuwa hata mie mambo ya Wimbledon nayaweza.
Nilimnyonya nanii, na kuichezea sana kwa ulimi wangu. Sikuwahi kuitoa huduma hiyo kabla, lakini kwa mapenzi niliyonaye kwake NIKAMTUNUKU.
Siku hiyo kazi ilikuwa moja tu ni hiyo, kwa zaidi ya masaa mawili na robo, nimemkunja kama mkizi, ulimi na yeye, yeye na ulimi.
Kilicho tokea baada ya hapo ni kwamba amekuwa kama mtu aliye pagawa, kila baada ya muda mfupi napigiwa simu kuwa kanimiss, haupiti muda mara text msg inaingia, anasema anataka niwahi kurudi home. Yaani ni kazi kwelikweli.
Akiniona tu anataka twende nikamkune.
Yaani hizi wiki mbili zote amekuwa mshiriki mzuri kweli wa ndoa.
Zamani kila kukicha utasikia ohh kichwa kina uma, mara mgongo, mara nimechoka na wingi wa kazi, lakini sasa mashalaaah.
Ndugu yenu ni mzima wa afya njema.
Wiki mbili zilizopita niliamua kumuonyesha wife kuwa hata mie mambo ya Wimbledon nayaweza.
Nilimnyonya nanii, na kuichezea sana kwa ulimi wangu. Sikuwahi kuitoa huduma hiyo kabla, lakini kwa mapenzi niliyonaye kwake NIKAMTUNUKU.
Siku hiyo kazi ilikuwa moja tu ni hiyo, kwa zaidi ya masaa mawili na robo, nimemkunja kama mkizi, ulimi na yeye, yeye na ulimi.
Kilicho tokea baada ya hapo ni kwamba amekuwa kama mtu aliye pagawa, kila baada ya muda mfupi napigiwa simu kuwa kanimiss, haupiti muda mara text msg inaingia, anasema anataka niwahi kurudi home. Yaani ni kazi kwelikweli.
Akiniona tu anataka twende nikamkune.
Yaani hizi wiki mbili zote amekuwa mshiriki mzuri kweli wa ndoa.
Zamani kila kukicha utasikia ohh kichwa kina uma, mara mgongo, mara nimechoka na wingi wa kazi, lakini sasa mashalaaah.