Msandawe Halisi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 647
- 350
Aaahh kumbe ulikua unamzungumzia Richadi, huyu mbona siku hizi ni MC tu wa Chama. Toka asiki 'homeboy' kapata ulaji naye akaamua kukihama kabisa CUF. Siku hizi amebaki kipaza sauti tu kule CCM kwa kila jambo lipitalo.[/QUOTE]
Msema chochote, Njaa hizi. Kazi kwelikweli
hebu fafanua hvo jamaa ni wali pia?SI riziki pia
crap...!!