jamani mimi nikuwa na girlfriend wangu mm naishi dar na yeye anaishi Arusha.Mimi nimemalza chuo UDOM mwaka huu na yeye yupo mwaka wa pili UDOM.Tumeanza mahusiano yetu na mwaka mmoja sasa hivi,mwezi uliopita aliniambia nimuache anataka kuwa alone na tena akaniambia nisimpigia hata simu kuanzia muda huo.kosa ananishutumu mm kuwa simujali na anasema nina wasichana wengine huku dar eti kisa mimi anasema ni handsome boy hivyo anahic anaibiwa zao lake huku.Kiukweli mm dar cna msichana yoyote zaidi yake yeye.Baada ya chuo kufunguliwa mwez uliopita akiwa chuoni juzi alinitumia sms yakuniomba msamaha anataka kurudiana na mimi.Je nifanyeje kuhusu huyu msichana.naombeni ushauri kwasababu nahofia anaweza akarudia tena tabia yake ya kunishitumu kuwa simjali,cmpend na wasichana wengine huku dar.