Ameniganda eti lazima nimuoe

HAZOLE

JF-Expert Member
Feb 25, 2011
1,551
708
Habari ndugu zangu wana jf,
nina rafiki yangu wa kike tumekuwa wapenzi miezi 8 sasa, kiumri tupo sawa.ana watoto wawili mapacha alizaa akiwa na miaka 19. Mimi sijawahi panga kumuoa huyu binti, sasa kuanzia mwezi uliopita nikaamua rasmi kutengana naye. Nilikaa nae kuzungumza kwamba uhusiano wetu si wa milele(pia sijawahi kumwambia kwamba nitamuoa) so, kuachana kupo njenje.daaaahhhh kama nilichokoza nyuki vile, kaamua kuniganda, anataka awe anakuja home kwangu kila siku na simu haziishi.nimeongeza msimamo wangu kwamba sasa ndo basi maana imekuwa fujo sasa.
Jana kanipigia simu ananiambia "piga ua lazima unioe"
duh nikasema hapa kazi ninayo, jamani ushauri wenu maana ngoja werevu mseme huyu anang'ang'ania nini?
By any means siwezi muoa hata aje na jeshi la nato.
Thanks
 
Habari ndugu zangu wana jf,
nina rafiki yangu wa kike tumekuwa wapenzi miezi 8 sasa, kiumri tupo sawa.ana watoto wawili mapacha alizaa akiwa na miaka 19. Mimi sijawahi panga kumuoa huyu binti, sasa kuanzia mwezi uliopita nikaamua rasmi kutengana naye. Nilikaa nae kuzungumza kwamba uhusiano wetu si wa milele(pia sijawahi kumwambia kwamba nitamuoa) so, kuachana kupo njenje.daaaahhhh kama nilichokoza nyuki vile, kaamua kuniganda, anataka awe anakuja home kwangu kila siku na simu haziishi.nimeongeza msimamo wangu kwamba sasa ndo basi maana imekuwa fujo sasa.
Jana kanipigia simu ananiambia "piga ua lazima unioe"
duh nikasema hapa kazi ninayo, jamani ushauri wenu maana ngoja werevu mseme huyu anang'ang'ania nini?
By any means siwezi muoa hata aje na jeshi la nato.
Thanks

Mkuu mbona unauliza majibu,jibu liko mbele yako unaliona kabisa bana kisha unauliza?
 
Habari ndugu zangu wana jf,
nina rafiki yangu wa kike tumekuwa wapenzi miezi 8 sasa, kiumri tupo sawa.ana watoto wawili mapacha alizaa akiwa na miaka 19. Mimi sijawahi panga kumuoa huyu binti, sasa kuanzia mwezi uliopita nikaamua rasmi kutengana naye. Nilikaa nae kuzungumza kwamba uhusiano wetu si wa milele(pia sijawahi kumwambia kwamba nitamuoa) so, kuachana kupo njenje.daaaahhhh kama nilichokoza nyuki vile, kaamua kuniganda, anataka awe anakuja home kwangu kila siku na simu haziishi.nimeongeza msimamo wangu kwamba sasa ndo basi maana imekuwa fujo sasa.
Jana kanipigia simu ananiambia "piga ua lazima unioe"
duh nikasema hapa kazi ninayo, jamani ushauri wenu maana ngoja werevu mseme huyu anang'ang'ania nini?
By any means siwezi muoa hata aje na jeshi la nato.
Thanks

Kijana ndoa hailazimishwi, kama ulikuwa unapunguza uchovu kwake mwambie wazi.
 
mkuu mbona unauliza majibu,jibu liko mbele yako unaliona kabisa bana kisha unauliza?
teh teh teh bishanga acha visa, nipe mbinu mjukuu wako. Vipi mwanao yule last born ameacha utukutu wa kutofanya assignment?
 
Afu na wewe ulichotaka kwake ni nini?uache um-l-y- kuchezea watoto wa watu!huyo dada aendelee kukung'ang'ania tu!stupid!
 
Alafu Hazole unaanza kunipa wasi na topic zako... Kwanza ilikua ni barmaind ambae anakung'ang'ania umuoe... Pili ilikua kutupa taarifa kua umepata mchumba (ambae nakumbuka hukunijibu kama ni yule barmaid ama lah!) Kupitia topic yako ya "ulazima wa kuoa" Hii topic has you on the hooks eeeh??

Habari yako Hazole (Sema mkuu kama kweli serious, ili kweli tutoe ushauri...)
 
Mpige chini fasta, kwani ulimbaka si alikubali kwa hiari, sasa anakuganda nini, mvalie sura ya kazi.
 
We kijana ni FATAKI utawa*** wangap? Unajua ipo siku nawe yatakukuta umzalishe alafu umkimbie? Alafu eti ushauriwe? Koma akun'gan'ganie tu..safi sana mnapenda kudo lakini outcomez hamzitaki kwanin?
 
Habari ndugu zangu wana jf,
nina rafiki yangu wa kike tumekuwa wapenzi miezi 8 sasa, kiumri tupo sawa.ana watoto wawili mapacha alizaa akiwa na miaka 19. Mimi sijawahi panga kumuoa huyu binti, sasa kuanzia mwezi uliopita nikaamua rasmi kutengana naye. Nilikaa nae kuzungumza kwamba uhusiano wetu si wa milele(pia sijawahi kumwambia kwamba nitamuoa) so, kuachana kupo njenje.daaaahhhh kama nilichokoza nyuki vile, kaamua kuniganda, anataka awe anakuja home kwangu kila siku na simu haziishi.nimeongeza msimamo wangu kwamba sasa ndo basi maana imekuwa fujo sasa.
Jana kanipigia simu ananiambia "piga ua lazima unioe"
duh nikasema hapa kazi ninayo, jamani ushauri wenu maana ngoja werevu mseme huyu anang'ang'ania nini?
By any means siwezi muoa hata aje na jeshi la nato.
Thanks

Kama yeye kweli ni bingwa wa kung'ang'ania watu, kwa nini asimng'ang'anie jamaa alomzalisha mapacha?
 
Alafu Hazole unaanza kunipa wasi na topic zako... Kwanza ilikua ni barmaind ambae anakung'ang'ania umuoe... Pili ilikua kutupa taarifa kua umepata mchumba (ambae nakumbuka hukunijibu kama ni yule barmaid ama lah!) Kupitia topic yako ya "ulazima wa kuoa" Hii topic has you on the hooks eeeh??

Habari yako Hazole (Sema mkuu kama kweli serious, ili kweli tutoe ushauri...)

ashadii haya bwana......
this is true mkuu, ni jana tu nimetoka kumpigia simu na kumwambia hakunaga ndoa hapa. kuhusu barmaid ni kweli huwa naenda bar moja kuna kula chakula kizuri na drinks na zaidi week end na huwa natazama soka, sasa huyo maid yupo pale na alikuwa ananikubali sana,nilishasovu na kanizoea kawaida kwa sasa.
naomba ushauri ndugu yangu maana akiendelea kujakuja home wengine hatunaga aibu, ntamfukuza hovyo aalllaaaah.
 
hahahahahah
unajua hapa mie kwanza nakulaumu wewe...wewe unaingia kwa mwanamke ambaye tayari kashazaa unadhani ayakuachia kirahisi tuu....huyo market yake kwisha haribika sasa wewe ulivyojiingiza tuu akaona mdio hapa hapa lol

sasa kusema kweli hawezi kukulazamisha unuoe ila sassa huwezi jua reaction yake itakuwaje....maana watu tunatofautiana .....brace urself for a long baattle!!!
sasa mara nyingi binadamu anaonaga mlanngo wakuingilia ila wakutokea haoni na anadhani itajipa tuu.....so lesson hapa.ni kama unataka kumkojolea demu be careful katika selection yako maana kweli hawezi kukulazimisha umuoe ila chamoto utakiona!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom