Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
mhhhh pole xana! Ni ngumu sana hasa kama ulipenda kweli, imentokea kama 9mnths ago, but kwangu imekua ngumu sana nishaanzisha new r'shen nyingi ili kumsahau ila wapi. Muombe sana Mungu. Ushauri wangu tulia usianzishe r'shen nyingine mapema coz itakucost tu na utazani kuwa unamkomesha ila kiukweli utakuwa unajikomesha.
Huu ushauri unaualakini