Amekumbatiwa imekuwa kizazaaaa

Nipo kwangu naangalia tv mara simu kutoka kwa rafiki yangu kuhusu mkasa uliomkuta nusu saa nyuma akiomba ushauri kwangu..... Kuna g.f alifika kwake kutokea MZA siku ya 4 sasa lakini akiwa ndani amejilaza baada ya kutoka kazini g.f wake akawa ametoka kwenda bafuni kuoga ile anarudi kutoka bafuni akasikia mlango wa chumba cha mpangaji jirani ukifunguliwa akaamua kuchungulia kuna nini cz g.f wake alimsikia akiingia ila akaona anakawia kuingia chumbani.. so ile kuchungulia mlangoni akaona akiwa amekumbatiana na yule mpangaji mwenzake mlangoni huku akiwa na kanga tu kama alivyotoka bafuni kiukweli alichanganyikiwa na akatoka walivyomwona wakavunga kama kuna kitu kimemwingia jichoni eti jamaa anamtolea... hapa rafiki yangu hata nauli ya kurudi MZA anasita kumpa ambwage ila still hajafanya maamuzi so naomba sana tumsaidie kimawazo tu

Magoo uwe wewe au rafiki yako, lakini ushauri ni huu huyo mwanamke ni ngulumbembe. Kama huelewi maana ya wanawake mangulumbembe ni wanawake ambao machoni wanaonekana kama wanafaa lakini kumbe hawafai hata kidogo kutokana na tabia zao za kujirahisi kwa wanaume!
 
huyo si wa kumpa nauli-cha kufanya ni yeye kuambiwa ahamie kwa huyo jirani yake-mchakato wake uishie hapo
 
mkuu kesho aende pale ubungo jamaa yako akakate tiketi halafu amwambie demu alhamisi home(mwanza) jamaa amsindikize mpaka sitendi ahakikishe amepanda basi! asimpe hala mkononi huyo mkuda!
 
live haihitaji kutafuta ushauri
mabasi yapo hata kesho asubuhi
jamani hata hofu hana?


Nipo kwangu naangalia tv mara simu kutoka kwa rafiki yangu kuhusu mkasa uliomkuta nusu saa nyuma akiomba ushauri kwangu..... Kuna g.f alifika kwake kutokea MZA siku ya 4 sasa lakini akiwa ndani amejilaza baada ya kutoka kazini g.f wake akawa ametoka kwenda bafuni kuoga ile anarudi kutoka bafuni akasikia mlango wa chumba cha mpangaji jirani ukifunguliwa akaamua kuchungulia kuna nini cz g.f wake alimsikia akiingia ila akaona anakawia kuingia chumbani.. so ile kuchungulia mlangoni akaona akiwa amekumbatiana na yule mpangaji mwenzake mlangoni huku akiwa na kanga tu kama alivyotoka bafuni kiukweli alichanganyikiwa na akatoka walivyomwona wakavunga kama kuna kitu kimemwingia jichoni eti jamaa anamtolea... hapa rafiki yangu hata nauli ya kurudi MZA anasita kumpa ambwage ila still hajafanya maamuzi so naomba sana tumsaidie kimawazo tu
 
Tatizo penzi mkuu

Mkubwa hapo penzi hakuna!!!!!.. Penzi ni kuheshimiana bwana!!!! Yaani huyo dada hana adabu kabisa!! Na kama ataendelea nae.. she'll continue be an excruciating pain on his neck!!! Tell him to do his homework!!! (I mean break from her).
 
duh! hapo chacha
ampe nauli arudi kwao sio fresh kumbwaga hapo mana atahamia room yajirani na yy atakua anaumia kila cku
 
Magoo uwe wewe au rafiki yako, lakini ushauri ni huu huyo mwanamke ni ngulumbembe. Kama huelewi maana ya wanawake mangulumbembe ni wanawake ambao machoni wanaonekana kama wanafaa lakini kumbe hawafai hata kidogo kutokana na tabia zao za kujirahisi kwa wanaume!
Yaah nakubaliana na hili
 
Au alikosea mlango?
Mpe nauli natena umsindikize mpaka kituoni na hakikisha apande gari kabisa.
 
Nipo kwangu naangalia tv mara simu kutoka kwa rafiki yangu kuhusu mkasa uliomkuta nusu saa nyuma akiomba ushauri kwangu..... Kuna g.f alifika kwake kutokea MZA siku ya 4 sasa lakini akiwa ndani amejilaza baada ya kutoka kazini g.f wake akawa ametoka kwenda bafuni kuoga ile anarudi kutoka bafuni akasikia mlango wa chumba cha mpangaji jirani ukifunguliwa akaamua kuchungulia kuna nini cz g.f wake alimsikia akiingia ila akaona anakawia kuingia chumbani.. so ile kuchungulia mlangoni akaona akiwa amekumbatiana na yule mpangaji mwenzake mlangoni huku akiwa na kanga tu kama alivyotoka bafuni kiukweli alichanganyikiwa na akatoka walivyomwona wakavunga kama kuna kitu kimemwingia jichoni eti jamaa anamtolea... hapa rafiki yangu hata nauli ya kurudi MZA anasita kumpa ambwage ila still hajafanya maamuzi so naomba sana tumsaidie kimawazo tu

Hapo ndio mwisho wa hadith yao. Hakuna kutoa nauli wala nini cha msingi ni kumwambia binti ukweli kuwa yeye na yule binti ndio basi. Dunia imeharibika magonjwa mengi.
 
tena ashukuru amemgundua mapema,ana pepo la ngono uyo hutomweza na ili suala la kukutana na mtu juu kwa juu na kuanzisha mahusiano bila kumjua tabia yake ndio mazara yake hayo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom