Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Ni Rafki yangu!!
Ana BBA anafanya kazi kwenye Kampuni mojawapo ya Simu, alipokuwa chuo alifanya engagement na binti wa ukweli, Bright darasani na yuko bomba Physically. Chuo kimeisha demu kaolewa na wenye kuishi kwenye maghorofa ya mikocheni. Huyo jamaa yangu anaishi Kijitonyama Sayansi.
Nimekutana naye msibani kanyongea akaniambia yeye kwenye mambo ya mapenzi ameamua kujikunyata pembeni akiwaangalia wenye Ubavu wakisonga mbele! Siku akipata Vogue ataingia uwanjani kupambana!!
Ana BBA anafanya kazi kwenye Kampuni mojawapo ya Simu, alipokuwa chuo alifanya engagement na binti wa ukweli, Bright darasani na yuko bomba Physically. Chuo kimeisha demu kaolewa na wenye kuishi kwenye maghorofa ya mikocheni. Huyo jamaa yangu anaishi Kijitonyama Sayansi.
Nimekutana naye msibani kanyongea akaniambia yeye kwenye mambo ya mapenzi ameamua kujikunyata pembeni akiwaangalia wenye Ubavu wakisonga mbele! Siku akipata Vogue ataingia uwanjani kupambana!!