jamaa alitoka zake ulaya na bonge la dogi jike ,akawa analicare vibaya mno,kila siku majirani wanamuona jamaa anamsafisha mbwa wake na kumpaka mafuta maalum,siku moja mbwa akatoweka ktk mazingira ya kutatanisha,jamaa akahaha huku na kule kumtafuta
jamaaanamuuliza jirani yake)"e bwana umemuona mbwa wangu?"
Jirani:"nimemuona mtaa wa pili pale anavutwa na mwenzake,atakuwa ameishiwa mafuta"
jamaaanamuuliza jirani yake)"e bwana umemuona mbwa wangu?"
Jirani:"nimemuona mtaa wa pili pale anavutwa na mwenzake,atakuwa ameishiwa mafuta"