mwambie alikuwa anamtest mkewe kuona kama ana wivu...
Waungwana jamaa katuma SMS kwa bibi wa nje yenye maneno kuka kunywa chukua chumba nakuja kulipa, mkewe kainasa katika sent items ya simu ya mumewe, naombwa nifanye suluhu
wewe ni padre?....
mwambie alikuwa anamtest mkewe kuona kama ana wivu...
hahahahaaa...mwalimu wao kipofu eh
Alikuja kwako kutubu?umefungua kanisa siku hizi eeh?au wewe ndio yule mchungaji kule Kawe?jamaa lazima atakuwa na asili ya Kenya...
Hayo ya ngoswe...wewe shika jembe ukalime...
hata hiyo unaomba ushauri? si akubali kosa au wewe ulikuwa unataka ushauriwe kitu gani?
Swali mojas majibu kibao!hapa ukisoma vizuri inaonekana ni ww, ila unamsingizia rafiki yako.
pole sana, ww mjanja mpige mkeo sound
Wifey unafanya nini kwenye hii sredi ya wazizi?suluhu gani unayotaka kufanya?
Hahahaha....... Kuna limjamaa liliwahi kufumaniwa live na mkewe gesti uchi wa mnyama lishapiga raundi zake tatu...... Demu akachoropoka jamaa likabaki na mkewe. Unajua lilijiteteaje? "Mke wangu nimeamini Mungu anaipenda ndoa yetu..... Ilikuwa nikisaliti na huyu malaya tena bila kondom. Kama si mpango wa Mungu kukuleta hapa labda leo ningeukwaa ukimwi. Mungu yu mwema kwetu"hahahahaaa...mwalimu wao kipofu eh