Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
firstlady mimi mayenga nipo ngoja niongeze vocha niwasiliane na binti,maana simu ikinikatikia ni aibu.
:d:d:d:d:d:d
firstlady mimi mayenga nipo ngoja niongeze vocha niwasiliane na binti,maana simu ikinikatikia ni aibu.
heee shemeji mnanishangaza
yeye anatafuta na wewe ulikuwa hujui umebutuliwa
yani cjui au ndo sitaili mpya ckuizi ukimpiga mtu kibuti umwelezi unatangaza hapa jf
heee shemeji mnanishangaza
yeye anatafuta na wewe ulikuwa hujui umebutuliwa
twin nilimuacha maana kila mdada humu akiomba msaaada yy anakuwa wa kwanza kutoa ushrikiano,huyu kampigia cm weee mpaka kachoka hapo kuna mume?
jamani labda alifikir akikufanyia 'suprizi' ungeipokea vizuri....
twin nilimuacha maana kila mdada humu akiomba msaaada yy anakuwa wa kwanza kutoa ushrikiano,huyu kampigia cm weee mpaka kachoka hapo kuna mume?
ahaaaaaaaaaaaa nimekumbuka
mmmh!!! mwaya hata we moyo wako wa nyama.....
kakaangu ana mke tena wa ndoa takatifu ya mke mmoja tu!!!!!!!!! tafuta mwingine....
Naitwa Annie,23,mnene,maji ya kunde,si mrefu wala mfupi sana,elimu
yangu kdato cha 6,mkristo-lutheran.Natafuta mchumba umri 27-35 ambaye
yuko serious na maisha,awe mrefu,sio mwembamba sana,sichagui dini wala
kabila,awe mwelewa,anaeshaurika,asivute sigara,pia awe tayari
kuniendeleza kielimu ili 2weze kusaidiana ktk maisha.
NB:Aliye serious tu ndo anitafute kwan nimechoka KUTENDWA NA
WABABAISHAJI WA MAPENZI,nahtaji mume.
Mawasiliano:0655054760 au 0752054760.
Mbona simu inaita tuu? Wacha nikuulizie hapa hapa.....tiGo inapatikana? weka picha kwenye PM ukiwa unaonyesha Mgongo tuanzie hapo kabla sijajicomit, kwa kuwa hujazuia pombe tutaelewana!
tupe cv yako, umeshatendwa mara ngapi, kama hali ndiyo hiyo basi sidhani kama hapo bado 'pazuri'...mpaka umechoka? Lol! I can only imagine!nimechoka KUTENDWA NA
WABABAISHAJI WA MAPENZI
Kiongozi nakushauri usiendelee. Mi nimeipiga limepokea dume lina harufu ya libeneke.
Mbona simu inaita tuu? Wacha nikuulizie hapa hapa.....tiGo inapatikana? weka picha kwenye PM ukiwa unaonyesha Mg ongo tuanzie hapo kabla sijajicomit, kwa kuwa hujazuia pombe tutaelewana!
tupe cv yako, umeshatendwa mara ngapi, kama hali ndiyo hiyo basi sidhani kama hapo bado 'pazuri'...mpaka umechoka? Lol! I can only imagine!
Kiongozi nakushauri usiendelee. Mi nimeipiga limepokea dume lina harufu ya libeneke.
kwaiyo kaolewa anatafuta nn ss au jamaa anamtenda anataka kutafuta mwingine kabla yakutoka akitoka aingie kwa mwingine
mh ama kweli kumbe nina bahati nilipata mume kiulainiii, sasa haya ndo masharti gani tena yarabi!!! masanilo unataka kuoa mgongo au unaangalia qualities za mke bora! am afraid siku mgongo ukipata msukosuko utamuacha bila talaka.... !!! take care