kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
MWANAMKE Salima [28] amejikuta akipelekwa kituo cha polisi na mume wake baada ya kumchana mwanae na kiwembe mdomoni.
Salima alipelekwa kituoni baada ya mumewe kukasirika na kitendo alichokifanya cha kumuadhibu mtoto kwa kumchana na viwembe
Salima alichukua umamuzi huo, baada ya mtoto wake huyo kumtukana tusi la nguoni na kushikwa na jazba na kumuadhibu kwa nia hiyo ili iwe fungisho kwa mtoto huyo asirudie kutamka tusi hilo
Alichukua uamuzi huo wa kumuadhibu mtoto huyo wa kumzaa mwenyewe kwa kukasirika na kutamka tusi ambalo hakutegemea kama angetamka mtoto wake huyo
Aliagiza kiwembe dukani na kuanza kumchana na kiwembe katika midomo yake hali iliyopeleka kuzua varangati kati ya wazazi hao wawili baada ya baba kushindwa uvumilivu kuona mwanae anaugulia kwa maumivu ya vidonda
HAta hivyo mume wa mwanamke huyo aliamua kwenda kutoa taarifa kituo cha polisi na mwanamke huyo kutakiwa kufika kuituoni kwa mahojiano
Mtoto aliyejeruhiwa na mama yake huyo alitambulika kwa jina la Ramadhani [6.5]
Salima alipelekwa kituoni baada ya mumewe kukasirika na kitendo alichokifanya cha kumuadhibu mtoto kwa kumchana na viwembe
Salima alichukua umamuzi huo, baada ya mtoto wake huyo kumtukana tusi la nguoni na kushikwa na jazba na kumuadhibu kwa nia hiyo ili iwe fungisho kwa mtoto huyo asirudie kutamka tusi hilo
Alichukua uamuzi huo wa kumuadhibu mtoto huyo wa kumzaa mwenyewe kwa kukasirika na kutamka tusi ambalo hakutegemea kama angetamka mtoto wake huyo
Aliagiza kiwembe dukani na kuanza kumchana na kiwembe katika midomo yake hali iliyopeleka kuzua varangati kati ya wazazi hao wawili baada ya baba kushindwa uvumilivu kuona mwanae anaugulia kwa maumivu ya vidonda
HAta hivyo mume wa mwanamke huyo aliamua kwenda kutoa taarifa kituo cha polisi na mwanamke huyo kutakiwa kufika kuituoni kwa mahojiano
Mtoto aliyejeruhiwa na mama yake huyo alitambulika kwa jina la Ramadhani [6.5]