Thinker96
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 311
- 66
chuoni kwe2 hapa saut mwanza leo wamebandika matokeo kama kawaida huwa hawarushi kwenye net kwanza kwa sababu za kiusalama kila kituo cha fakati ambapo wamebandika matokeo gari la ambulance na watoa misaada wa huduma ya kwanza wanazunguka huku wakiwaambia watu walipata angalau sura ya furaha na kelele marufuku...m2 asikudanganye matokeo ya wote yamebandikwa jaman jaman shule c mchezo hali kama ndo hv hapana.