Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,469
- 281
Sina nia mbaya na hili.. ni mtazamo wangu wangu tu!!
Wengi wa wanawake waliofanikiwa/ wenye njaa ya kufanikiwa kielimu/ kiuchumi wamejikuta wanapoteza wenzi wao au wanaishia kuwa na mahusiano tata.!! Wengi wao au.. wameachika.. wanachelewa sana kupata wenza wa maisha... wanaishia kuwa 'chakula' ya serenget boys.. wanazeeka wakiwa wapweke.. na zaidi ya yote watoto wao, licha ya kuwa na maisha bora, wanakosa 'elimu dunia' na kuishia kuharibikiwa..
Binafsi namtazama mwanamke kama nguzo ya familia...Aghalabu, nyumba isiyo na mama mambo mengi yahusuyo familia(umoja, maadili n.k.) huenda mrama. familia nyingi ambazo ziko imara,mwanamke ni kama amejitoa sadaka(kuachana na malengo ya mafanikio makubwa) kwa ajili ya mumewe, wanawe na familia kwa ujumla..!!
The more the ambitious the woman is, chances are, she will lead a lonely and emotionally distressful family life and vice versa!!
Kwa mwanaume kuwa na mahusiano imara na huyu'ambitious' woman(sorry for kiswakinge), akubali kuwa na utwala wa "kura ya turufu" au akubali kuwa ka-"bushoke"!!
Nakubali kukosolewa!!
Wengi wa wanawake waliofanikiwa/ wenye njaa ya kufanikiwa kielimu/ kiuchumi wamejikuta wanapoteza wenzi wao au wanaishia kuwa na mahusiano tata.!! Wengi wao au.. wameachika.. wanachelewa sana kupata wenza wa maisha... wanaishia kuwa 'chakula' ya serenget boys.. wanazeeka wakiwa wapweke.. na zaidi ya yote watoto wao, licha ya kuwa na maisha bora, wanakosa 'elimu dunia' na kuishia kuharibikiwa..
Binafsi namtazama mwanamke kama nguzo ya familia...Aghalabu, nyumba isiyo na mama mambo mengi yahusuyo familia(umoja, maadili n.k.) huenda mrama. familia nyingi ambazo ziko imara,mwanamke ni kama amejitoa sadaka(kuachana na malengo ya mafanikio makubwa) kwa ajili ya mumewe, wanawe na familia kwa ujumla..!!
The more the ambitious the woman is, chances are, she will lead a lonely and emotionally distressful family life and vice versa!!
Kwa mwanaume kuwa na mahusiano imara na huyu'ambitious' woman(sorry for kiswakinge), akubali kuwa na utwala wa "kura ya turufu" au akubali kuwa ka-"bushoke"!!
Nakubali kukosolewa!!