Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
nilikuwa Dodoma juzi
na nikija tena nataka nije mpwapwa
sijui nitakuona nikija huko?
mmmh!aaaah!..... Yeaah! Utaniona.
nilikuwa Dodoma juzi
na nikija tena nataka nije mpwapwa
sijui nitakuona nikija huko?
But mimi namjua JF man of they year wangu ni nani...
Mi pia namjua my JF man of the year. Lol.
Shkamoo tena Ankal wangu mpendwa.Mwali mpwa wangu, sio kawaida yako kuandika maelezo marefu hivi kwa sababu ya mtu mmoja kuchakachuliwa kura...mbona hujasema mimi ankal wako, nimenyimwa haki ya ugombea binafsi, na jumatatu naenda mahakamani kupinga?
sasa basi kabla sijalala, pamoja na kila kitu, hebu nipe maelezo kuna nini so special
ankal wako leo ako na tafakuri sana....
Nataka kujiunga na ardhi university vp waweza nisaidia taratbu zote?
Sio siri ankal, kwangu mimi Man of the year ni EMT.Not to sound like NN, lakini would you mind kumtaja? Mkishindwa hapa hata kwa PM:A S embarassed:
Not to sound like NN, lakini would you mind kumtaja? Mkishindwa hapa hata kwa PM:A S embarassed:
mmmh!aaaah!..... Yeaah! Utaniona.
haya nataka story za usiku mpenzi..
Sio siri ankal, kwangu mimi Man of the year ni EMT.
Shkamoo tena Ankal wangu mpendwa.
Ulivo nilea pamoja na shangazi, unajua mimi sio mtu wa kusema sana
Na nikisema mara nyingi ni sababu nimechokozwa
You know me, I hate losing. I was born to win CONSTANTLY (as I do)
Nilijitolea kumpigia kura na kumpromote member mwenzangu aitwae EMT
Nilikua tayari kwa kila kitu, kumuona akifaulu au akishindwa
But iwe haki, iwe sauti ya wapiga kura
Sasa nimeona uchakachuaji wa hali ya juu
Rules za kupiga kura zinaandikwa wakati watu wameshaanza kupiga kura
na zina wapromote watu fulani, zinawaponda watu fulani
Hiyo ya kusema mtu hatakiwi kujinominate wameleta baada ya kuona candidacy yako itafunika wengine
Hiyo ya kusema mtu hatakiwi kunukuu wameileta baada ya kuona candidate wetu analead
Pia hiyo ya kuhamisha mtu from one category to another wameileta baada ya watu kupiga kura
Mpwa wako nimeboreka kweli Ankal, ila nikaona nipotezee tu...
Sipendi ligi, sikulelewa hivo. I hate losing, but I hate ligi even more.
Mimi namjua Man/woman of the year, namjua King/queen of MMU and I keep in me
Hapa naitikiaje sasa? 'wakati wa mfalme ROSA'?hapo zamani za kale....(itikia)
sasa mbona umeguna
nisikutafute basi
nahisi hutaki
Sio siri ankal, kwangu mimi Man of the year ni EMT.
Hapa naitikiaje sasa? 'wakati wa mfalme ROSA'?
There is nothing to say or do at this point. Just hug me tight and say it is ok to cry...Now....what can I possibly say? (ivi nisije nikawa nimekosea kingereza manake huku hukawii kuanzishiwa sredi mpwa wangu?)
Mi sitaki kwenda kwa bibi, nitamkuta babu huko halafu atalazimisha kunikagua!!!unaitikia "eehee". Cousin tatizo uligoma kuishi na bibi. Mwambie aunt akupeleke kijijini angalau mwezi.
mmmh!aaaah!..... Yeaah! Utaniona.