yatima
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 354
- 130
Mshaara wa house girl ambaye ana elimu kuanzia form four ni TShs 150,000/- na pia ana marupurupu ikiwa pamoja na sehemu ya kulala na chakula pia anakatwa NSSF, Hapo itakuwa imetulia na wala hakutakuwa na shida ya kuwapata
shida ni pale housegirl/houseboy anapolipwa mshahara kiduchu.
Hata hivyo ........... mtu hata kama kafika form VI wacha form IV - lakini kasoma kijijini sana (very remote) halafu likizo hajawahi kuja mjini - na mjini kwenyewe akaingia kwenye nyumba za watu wenye maisha ya kisasa - nina maana atakuwa hajui a) kutumia micro-wave au kujua hata ni nini
b) kutumia rice cooker
c) kutumia breadmaker
d) blender
e) water dispenser
f) washing machine
g) dish washer
h) kutumia pass ya umeme etc.
tutofausishe kati ya elimu ya darasani na elimu ya maisha - maisha ya level mbali mbali -
Hivyo tuchukulie kazi ya housegirl - ni mojawapo ya kujifunza aina fulani ya maisha - na kama ana akili - anaweza kutoka tu - kwani ufahamu unafunguka tunapopata changamoyo za maisha - kama yuko smart - kichwani