Boma sidhani kama kuna wenye JF, ......... Kitendo cha watu kuamua kutumiana PM ya hizo info ni utashi wao aidha kwa kuwa hawapendi kuonekana wao ndiyo vyanzo vya habari hizo ama kwa sababu za kwao binafsi.
Mimi nadhani kama hawakutaka hiyo habari tuijue, wangeacha kabisa kuiweka hapa wakatumiana PM bila kututia muwashawasha. Kwani hapa nani anajulikana kwa jina halisi, KAMA NI UOGA WA KUJULIKANA mbona thread nyingi tena za hatari zinawekwa hapa. HUOGA HUO TAYARI UMETOA MAANA YA JF ya "Where We Dare to Talk Openly"