Hatuna amani ila tuna propaganda za kuwa kuna amani. Vikongwe wanauliwa, maalbino wanauliwa, mapigano yawakulima na wafugaji kule kilosa, mauaji ya mwembechai na pemba na haya ya NYAMONGO MARa. Amani ipo wapi hapo sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.