Serikali Ya Raisi Jakaya Kikwete ni mfu ndio maana imeziba masikio mabomu ya nini kwa watoto yote ni kuonyesha mabwana zao Barrick kwamba hakuna pua itakayonyenyuka kudai haki,mambo ya ajabu sana,Polisi wapambane na wanafunzi wasio hata na silaha yeyote