sulphadoxine
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,257
- 644
Kuna formula niliisoma jana kwenye gazeti la MwanaHalisi sikumbuki mwandishi wake lakini nikaipenda.
Formula hiyo inakwenda hivi
MAANDAMANO - INTELENGESIA = UTULIVU
Hiyo formula imekuwa proved kwenye maandamano ya Mwanza, Msoma, Shinyanga na Kagera.
Kwa wale mliojifunza hesabu kidogo, hivyo basi
MAANDAMANO + UTULIVU = INTELENGESIA
INTELENGESIA = VURUGU
Kwahiyo basi mimi ninaona card ya mwisho iliyobaki kwa CCM ni kuzuia maandamano ya amani ya CDM kwa kisingizio cha
intelengesia ili kuamusha hasira za watu ili vurugu zitokee. Hiyo formula imekuwa proved Arusha (M + U = I, I stands for vurugu)
Kuwashika viongozi wa CDM it is too late JK hana ubavu huo unless aache kutembeza bakuli kwa wahisani. Hivyo turufu ya JK na CCM
imelala kwenye intelengesia ya Said Mwema, kupiga marufuku mikutano na maandamano ya CDM ili polisi waanzishe vurugu na kuwapiga raia risasi za moto.
Hapo kwenye red"Ndimara Tegambwage" ndio mwandishi