nimesikia kwenye redio sasa hivi kuwa kuna kikombe kimeibuka mbagala, mwaka huu kuna watakaofikiri kuwa ni neema, na kuna watakaozani ni kulichafua taifaletu kwani watu watakuwa wanasema unatoka nchi gani, ukisema Tanzania watakuuliza ile nchi ya vikombe? ndugu mwenyemacho haambiwi tazama!