Taito yako haijanyooka vizuri, ukweli ni kuwa huyu bishop anadhani/anaamini kuwa binti anaweza kuwa alitekwa na kufichwa na wana-vatican, uchinguzi wa polis haukugundua hilo na kaburi walilohisi kuwa la binti lilikuwa la gangster.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.